Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Samia kuna nati zimemlegea kwenye faculty ya ku process mipango ya uongoziRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
We jamaa ni pimbi kabisa... hilo dege kutua hapo lusaka ni pesa zaidi ya tsh 30m kama malipo ya parking, bado hujalipa kodi na pesa za malazi. Kwa ujumla 0.5B TSH lazima ipotee.
Kuna bonanza huko ccm wamekodishwa kukata mauno kwenye sherehe,shaka ndio aisha madinda wa tot bandRais Samia huku unatuletea matozo. Imagine hao wote unaosafiri nao kwenda Zambia kwa kodi za Watanzania.
View attachment 1905055
Sidhani kuna analojua zaidi ya kuvaa shungiYaani kusema ukweli huyu mwanamke ni hasara kabisa.
Anajikombe 2025 wampitishe ndio atajua hajuiMbaya zaidi kiongozi wa serikali ni mmoja tu, wa ccm ndio wametawala hii ni ziara ya kichama na sio kiserikali... Mama ameweka mbele maslahi ya chama chake kuliko serikali! Nilitegemea kama kuongozana na watu angeongozana na watalaam na baadhi ya wafanyabishara ila leo nimejua mama ni empty kabisa
Labda wewe n mumeo ndio mnamkumbuka,takataka yule mwehuMtanikumbuka
Wale bibi zako wajane wanaotozwa kodi za nyumba na tozo kijijini kwenu ni chadema si ndiyo?Acha mkomeshwe demokrasiA ipi unazungumziA.Chadema majanga mlilewa sana baada ya Magufuli kufariki, vumilieni dawa ikamate mshono
Huku kwetu wenye maarifa/mawazo ni maadui wa watawala, Tujifunze kwa Rais wa Botswana ambaye katika msafara wake kwenda kumwapisha Rais mteule wa Zambia, ameambatana na opposition leader. Sisi wakwetu tumewasweka rumande!! Rais wa Botswana hakika anajua ipo siku huyu opposition leader ataongoza nchi hivyo anammenter, kwanini Botswana isiwe na uchumi mzuri???? Kwa mawazo haya?Zambia walioshinda uchaguzi ni wapinzani. Angemchukua angalau Dovutwa kuonesha sera yetu ya taifa ni kwenda na ulimwengu unavyo enda.
Aisee mama anazingua. Yaani tunakamuliqa hivi tumeamua kuunga mkonk juhudi za kujenga taifa kumbe yaya na kundi lake wana aganda ya kufanya kufuru nje ya nchi.Yaani ni aibu sana sana!
Rais wa Botswana amejifunza kwa Zambia kuwa ipo siku na yeye atakuwa mpinzaniHuku kwetu wenye maarifa/mawazo ni maadui wa watawala, Tujifunze kwa Rais wa Botswana ambaye katika msafara wake kwenda kumwapisha Rais mteule wa Zambia, ameambatana na opposition leader. Sisi wakwetu tumewasweka rumande!! Rais wa Botswana hakika anajua ipo siku huyu opposition leader ataongoza nchi hivyo anammenter, kwanini Botswana isiwe na uchumi mzuri???? Kwa mawazo haya?
Ooh kumbe Ndege inasafiri kwa Maji na sio mafuta?You stupid shithole..
Parking ya ndege unajua calculation yake.? Kumbe ww shithole kabisa.
Parking ya A220 per day ni $20 tu hapo tena Airport na sbb ni mwaliko wa Rais wa Zambia, parking, landing, navigation fees kuna waiver.
Kwa Dar airport, parking fee ya A220 per day haizidi $ 10
Ww shithole umetoa wapi ths 30 million? Unafikiri ndege zingefanya business ingekuwa ghali hivyo? Sbb ww ni shithole unaongea tu.
![]()
What is the cost to park a private plane for a month?
Answer (1 of 4): In my 5000 acre estate, I have a private runway with some hangars. I charge $3000 per month for a Cessna prop aircraft, and $8000 per month for a private jet. If you’re looking for space please let me know.www.quora.com
Huku kwetu wenye maarifa/mawazo ni maadui wa watawala, Tujifunze kwa Rais wa Botswana ambaye katika msafara wake kwenda kumwapisha Rais mteule wa Zambia, ameambatana na opposition leader. Sisi wakwetu tumewasweka rumande!! Rais wa Botswana hakika anajua ipo siku huyu opposition leader ataongoza nchi hivyo anammenter, kwanini Botswana isiwe na uchumi mzuri???? Kwa mawazo haya?
Ona huo msululu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuki.
Yule alisema wanyonge basi huyu anatutia kitanzi.Ona huo msururu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuki.
Hao ni kwaajili ya kumuombea duaOna huo msururu jamani. Halafu mzigo unakuja kurudi kwa watanzania kulipa kodi lukuki.