Hii sentensi ya mwisho inaashiria ushoga.Acha uongo wako na upotoshaji wako hapa wa kujifanya unamfahamu Rais wetu mpendwa kuliko sisi watanzania, acha na Koma kumchafua mh Rais wetu hapa, Tena Koma kabisa
Hilo siyo suala la kidini, mke wa mtu kunyweshana mvinyo na mwanaume mwingine ni haramu hata kwa dini nyingine na kwa mumewe.Salaam
Kitendo cha Kumnyesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Mkiishiwa hoja na kubanwa mbavu mnaanza matusi, Watu Kama nyie wapotoshaji na wakurupukaji hamuwezi mkaachwa muendelee kupotosha humu, lazima muumbuliwe uongo wenu ili mjuwe siyo wote wajinga humuHii sentensi ya mwisho inaashiria ushoga.
Ndo nini?Hanatafuta pesa kwanza..
Mshana Jr uko wapi mtani,
Nimeiangalia vizuri hiyo clip inaeonekana kama alibadilishiwa glass ndio akaiweka mdomoni na kunywa juice , sio ile glass aliyomnywesha nayo Nyusi !! Na alimnywesha juice Rais Nyusi kwa kuwa hakutaka kutakiana cheers kwa glass ya juice na glass ya whiskey maana yeye ni muislamu angegongesha glass ingeleta impression mbaya kwa waislamu wengi duniani ambao wangeiona hiyo clip !!faida za rais mwanadada, watanzania hamjazoea !! wenzetu nchi za waliostaabika toka karne ya 18 haya ni mambo ya kawaida sana... juice tu je ingekuwa kufungua mziki kwa kushikana zero distance. Hebu acheni usukuma mnatuangusha watanzania wenzenu.
Wewe uliona wapi sisi tuliooa tunalalamika humu jf? Hayo mambo ya ndani, humu ni jf members ndo tunalalamika.Mwenye mke amelalamika?
Labda Ebola ndio hatari kwa mateMate kwenye glass
Hilo nimewajibu na kuwaeleza watu hapo juu kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani alibadilishiwa glasi na msaidizi wake hatua chache hapo alipoelekea, Hata namna mh Rais wetu anavyoipokea hiyo glasi mpya inaonekana wazi japo kwa mwenye kukurupuka na mihemuko hawezi kuona tukio hiloNimeiangalia vizuri hiyo clip inaeonekana kama alibadilishiwa glass ndio akaiweka mdomoni na kunywa juice , sio ile glass aliyomnywesha nayo Nyusi !! Na alimnywesha juice Rais Nyusi kwa kuwa hakutaka kutakiana cheers kwa glass ya juice na glass ya whiskey maana yeye ni muislamu angegongesha glass ingeleta impression mbaya kwa waislamu wengi duniani ambao wangeiona hiyo clip !!
Dah! We jamaa wewe...hahaHadi rais wa msumbiji kashtuka kabisa, namuona rais wa msumbiji akiutafuta ule Uzi wa 'tunda kimasihara'
Una wakili?Huyo ndio ba mdogo???
Kesho keshokutwa tusije shangaa ustaadh ameir kapiga mtu chini... Si ana wake wengine bwana...This is bad, I repeat, THIS IS WORSE.
Kuna kitu hakiko sawa mahali, kuna kitu kiko VERY WRONG..
Hii ni mistake atakayoijutia maisha yake yote.
Wakili ni wewe samUna wakili?
Mambo ya Ngoswe mwachieni Ngoswe, kwani hivi ilishatokea Ngoswe ameingilia mate yenu?Wewe uliona wapi sisi tuliooa tunalalamika humu jf? Hayo mambo ya ndani, humu ni jf members ndo tunalalamika.
Wewe ni mmoja ya watu wenye akili ya ziada.Inawezekana mama alimnywesha kama sumu basi wadondoke wote [emoji16]
Ndio Ndio!una jicho we Jamaa!!Mama master, kakataa kinywaji cha nyusi kijanjanja na kimedani, nimemuelewa mama
Majority ya Watanzania (around 71%) ni Waislamu.
Kabadilishiwa glasi wapi wakati kaenda kugonga cheers akarudi.Nimeiangalia vizuri hiyo clip inaeonekana kama alibadilishiwa glass ndio akaiweka mdomoni na kunywa juice , sio ile glass aliyomnywesha nayo Nyusi !! Na alimnywesha juice Rais Nyusi kwa kuwa hakutaka kutakiana cheers kwa glass ya juice na glass ya whiskey maana yeye ni muislamu angegongesha glass ingeleta impression mbaya kwa waislamu wengi duniani ambao wangeiona hiyo clip !!