Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Majority ya Watanzania (around 71%) ni Waislamu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Hata akili zA kuangalia tu huna, nenda vyuo vikuu vitatu tena viwe dar au pwani kabisa , kila program hesabu idadi ya waislam na wakristo

Madrasa ndo wana wadanganya hivyo eeh
Achana na hiyo
Hesabu wabunge, mawaziri

Akili zako mbovu sana
 
Ha
Kama aliwekewa sumu wafe wote.
Hawawezi wakafa wote Bali Kama Kuna chochote kibaya anaweza akadhurika huyo mwenyeji wake maana sisi mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani alipewa glasi nyingine na wasaidizi wake, tofauti na watu wengine humu wanavyofikiri kuwa alitumia glasi aliyomnyweshea mwenyeji wake bila kujuwa kuwa glasi ilibadilishwa kwa uharaka mkubwa Sana na hata mh Rais wetu akaipokea kwa uharaka wa kikomandoo na kuinywa Ila watu Kama Bavicha hawawezi kuona maana huwa hawana umakini wowote
 
Mwache ale mvinyo weekend hii

Kwahiyo huyu nyusi tumwiteje? Emeji ama[emoji16]
Kuna mstaafu lzm anune
Kitu kimoja watu mnasahau. Mwanamke akiwa Rais habadiriki jinsia. Hawezi behave kama mwanaume. Tanzania si nchi ya wanaume tu, hata wanawake. Ningeshangaa sana kama Rais wetu mwanaume angemnywesha Rais Mwanaume wa Msumbiji. Take it easy.
 
Hapana

Hapana siyo hivyo, Naomba uelewe kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Hakutumia Tena glasi aliyotumia mwenyeji wake kunywa Bali mh Rais wetu alipewa glasi nyingine na wasaidizi wake hapo mbele hatu chache ndio ukaona akinywa, watu hawajaangalia hapo kutokana na kuwa wengi huwa hawana umakini humu kufuatilia mambo na ndio maana unaona wengine wanachangia kana kwamba mh Rais wetu ametumia glasi aliyotumia kumnywesha mwenyeji wake

Mama anazidi kuipaisha nchi yetu kidiplomasia na kuzidi kuvutia wawekezaji kuja kuwekeza hapa nchini, kazi iendeleee
Unatumia nguvu nyingi kutetea upuuzi. Anayebadilisha kinywaji cha rais ni msaidizi wake tu. Msaidizi alikuwa nyuma yake hajabadilisha kitu. Wewe umeona mkono umenyoka kutoka kwa huyu mama alovaa nguo ya kaki ambaye waligonga glasi. Relax tuliza moyo. Wote humu watu wazima. Chutama.
Screenshot_20220923-132957.png
 
Labda kastukia kinywaji, marais huongozana na wapishi wao hivyo anafanya uhakiki kuhusu kinywaji pengine kabonyezwa kuwa watu wake (Samia Hassan) hawakupewa nafasi kuonja kinywaji kujua usalama.

Ile ya kusema Nyusi aache mvinyo anywe juisi ni mbinu za medani ku test hali ili Felipe Nyusi naye anywe fundo la juisi.
 
Labda kastukia kinywaji, marais huongozana na wapishi wao hivyo anafanya uhakiki kuhusu kinywaji pengine kabonyezwa kuwa watu wake hawakupewa nafasi kuonja kinywaji kujua usalama.

Ile ya kusema Nyusi aache mvinyo anywe juisi ni mbinu za medani ku test hali ili Nyusi naye anywe fundo la juisi.
Exactly!!
 
Safi sana, katumia akili kubwa sana ki proptocal...

Kungekua na chochote kibaya kwenye hicho kinywaji huyo mwenzake angehepa kunywa nae asingekunywa...
 
Unatumia nguvu nyingi kutetea upuuzi. Anayebadilisha kinywaji cha rais ni msaidizi wake tu. Msaidizi alikuwa nyuma yake hajabadilisha kitu. Wewe umeona mkono umenyoka kutoka kwa huyu mama alovaa nguo ya kaki ambaye waligonga glasi. Relax tuliza moyo. Wote humu watu wazima. Chutama.
View attachment 2365666
Rais amebadilishiwa na huyo msaidizi wake hapo hatua chache alipopokea glasi nyingine au wewe unazani kuwa Rais anakuwa na msaidizi mmoja tu? Shida yenu mmezoea upotoshaji wenu lakini mkiumbuliwa mnaanza matusi na kutafuta vichaka vya kujificha
 
Aisee hapana atakuwa karogwa,yaan mambo yamefanyika fasta fasta mpaka hata sielewi

Sisi watu wa ikulu tunasema hii ni editing
 
Rais amebadilishiwa na huyo msaidizi wake hapo hatua chache alipopokea glasi nyingine au wewe unazani kuwa Rais anakuwa na msaidizi mmoja tu? Shida yenu mmezoea upotoshaji wenu lakini mkiumbuliwa mnaanza matusi na kutafuta vichaka vya kujificha
Siwezi bishana na watu kama wewe ambao mumejitoa ufahamu ili kupotosha watu mtandaoni. Endelea upate ujira wako.
 
Back
Top Bottom