Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha upotoshaji Rais Samia Suluhu amefanya kitendo cha kawaida sana tatizo huwa mpo active kusubiri amekosea wapi muamke nalo lakini hiko kitendo ni kawaida sana yani, watanzania tuache ushambaMama akishapiga Vant huwa hana control
Glasi ilibadilishwa na akapewa nyingine, angalia mkono wa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani akipokea Glasi nyingine kijasusi zaidi, watu wanachangia tu maana Kasi ya mh Rais wetu kuwatumikia watanzania ilishawavuruga baada ya ubabaishaji wao kufika kikomo, kazi iendeleeeSijui tunaangalia kwa makini nilivyoona Glass ilibadilishwa ila mchukua video nakutaka kutuonesha
Hahaha unaakili sana yani mama ameona isiwe tabu na iko kitendo ni cha kawaida sanaWatu wengi hawajaelea maana ya hyo video mam pale kaupiga mwingii mnk alipewa juice isoyofanan kbsa na watu wengine akaona Yan. Nijifie Pekee angu akabidi pale amnyweshe nyusi Kama Ni kufa wafe wato dadeki mam kaupiga mwingi
Bila Shaka nimeshakushika baada ya kukusumbua upotoshaji wako uliotaka kupendekeza hapa, mama anazidi kuchanja mbuga kwa Kasi ya mshale,hapa inanipa picha wewe kichwani ukoje! Kwaheri!
Haya wote kwa pamoja tuseme...Mama anaupga mwingi.Watu wengi hawajaelea maana ya hyo video mam pale kaupiga mwingii mnk alipewa juice isoyofanan kbsa na watu wengine akaona Yan. Nijifie Pekee angu akabidi pale amnyweshe nyusi Kama Ni kufa wafe wato dadeki mam kaupiga mwingi
Achana na huyo mpotoshaji aliyeandika kiupotoshaji na kimhemuko kudanganya watu hapa, mh Rais wetu hajatumia glasi aliyonywea mwenyeji wake bali alibadilishiwa nyingine na wasaidizi wake walioiva katika suala Zima la usalama wa mh Rais wetuNataka elewa, Yani kamnywesha na kikombe chake and that means are sharing a cup?
Wasukuma ni waislamu? Maana hao tu wanazaliana sana kuliko makabila yote nchini
Watu wa vijijini wanazaliana sana na hivyo vijiji uislamu haujafika.
Fanya research
Watu badala ya kujadili vitu vya msingi ambavyo mama ameenda kutafuta wanaleta siasa za kipuuzi wakati mama ameenda kukuza biashara, kilimo, ulinzi na usalama, elimu na lugha ya Kiswahili kati ya Tanzania na MsumbijiWa TZ tuwe serious jamani. Yani ziara nzima ya mama yetu huko Msumbiji imekuwa reduced to nothing kwa hicho kitendo tu?
Exactly kbsa kaupiga aiseeHaya wote kwa pamoja tuseme...Mama anaupga mwingi.
Aaaaaa wapi...utetezi huu tupa kuleeeMama master, kakataa kinywaji cha nyusi kijanjanja na kimedani, nimemuelewa mama
Hapana siyo hivyo, Naomba uelewe kuwa mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani Hakutumia Tena glasi aliyotumia mwenyeji wake kunywa Bali mh Rais wetu alipewa glasi nyingine na wasaidizi wake hapo mbele hatu chache ndio ukaona akinywa, watu hawajaangalia hapo kutokana na kuwa wengi huwa hawana umakini humu kufuatilia mambo na ndio maana unaona wengine wanachangia kana kwamba mh Rais wetu ametumia glasi aliyotumia kumnywesha mwenyeji wakeWatu wengi hawajaelea maana ya hyo video mam pale kaupiga mwingii mnk alipewa juice isoyofanan kbsa na watu wengine akaona Yanini Nijifie Pekee angu akabidi pale amnyweshe nyusi Kama Ni kufa wafe wote dadeki mam kaupiga mwingi
Wasukuma waislam wapo ukanda wa igunga,nzega,tinde na shinga mjini walienda Zanzibar wakarudi na uislam na wahamiaji waarabu na wasomali walipeleka uislam kwa kiasi chake
Wasukuma wengi wa vijijini hawazingatii dini
Nimesema mikoa ambayo ina majority christian hawazaliani sana labda pengine ya kuoa mke mmoja na kufuata uzazi wa mpango
Yule si ndie alikuwa ndani ya basi na Rais? Ina maana Rais alienda London na "Prince Phillip"?Salaam
Kitendo cha Kumnyesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki
Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?
Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.