Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Mbona wazungu hadi wanakiss?
Mama alimnywesha juisi ila rais wa Msumbiji alikuwa na Champaign ambayo ni kilevi ndo maana hakumnywesha. Kila baada ya hotuba ya Dhifa na tumeona mara nyingi lazima wageni waalikwa wanyweshane kinywaji kwa afya. Tusilete maneno ya kiuchonganishi na kujifanya hamjatembea wala kwenda kwenye dhifa zozote. Kama hamjafanya vyovyote hivyo bora mnyamaze.
Mbona mmeona watu wanacheza miziki humu mbona hilo hamlisemi. Mpende msimpende Samia yupo na atakuwepo mpaka atakapong'atuka muda wake ukifika.
 
Pia lazima watu mnaochangia hapa muelewe kuwa baada ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kumnywesha mwenyeji wake hakutumia hiyo glasi kunywa Tena Bali alipewa nyingine hapo mbele alipoelekea ,Angalia vizuri mkono wa mh Rais wetu aliyeiva na kuvivaa viatu vya Urais kisawasawa akipokea Glasi nyingine kutoka kwa wasaidizi wake ambao tumewapa dhamana ya kuhakikisha mh Rais wetu mpendwa anakuwa salama popote Alipo huku akilindwa na Mkono wa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema,

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka
 
Salaam

Kitendo cha Kumnyeshwa Mwanaume Juice kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Kwa mliomfahamu Samia baada ya kumwona na ushungi ndio mnashangaa!! Enzi za samia havai ushungi akiwa kwenye NGOs zake huko tunamjua Samia si mtu wa maadili ya kiafrika, huyu mama ana uzungu mwingi uliopitiliza... hata huo mtandio anaovaa no baada ya wazee kumsihi sana avae ili apate kura za jimboni huko Zanzibar.

Zakhia Meghji hamfikii Samia Suluhu Hassan kwa uzungu.
 
Sijui tunaangalia kwa makini nilivyoona Glass ilibadilishwa ila mchukua video nakutaka kutuonesha
 
Katika pitapita zangu sijawahi shuhudia hiki kitu kiukweli.
Sikia wewe siyo unachangia tu hapa bila kuelewa mambo, Mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na kupewa nyingine na msaidizi wake, angalia mkono wa jemedari wetu Mama Samia akipokea Glasi nyingine haraka haraka na kunywa, Tanzania Ni majasusi kweliii kweliii na wasaidizi wa mh Rais wetu mpendwa wameiva kimedani na kijasusi na ndio maana unaona walivyo makini na usalama wa mh Rais wetu kwa maslahi mapana ya Taifa letu pendwa la Tanzania
 
Pia lazima watu mnaochangia hapa muelewe kuwa baada ya mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani kumnywesha mwenyeji wake hakutumia hiyo glasi kunywa Tena Bali alipewa nyingine hapo mbele alipoelekea ,Angalia vizuri mkono wa mh Rais wetu aliyeiva na kuvivaa viatu vya Urais kisawasawa akipokea Glasi nyingine kutoka kwa wasaidizi wake ambao tumewapa dhamana ya kuhakikisha mh Rais wetu mpendwa anakuwa salama popote Alipo huku akilindwa na Mkono wa Mwenyezi Mungu mwingi wa Rehema,

Kazi iendeleee Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka
wewe ni chawa wa kutupa, hata hujielewi unaadika nini
 
Hiyo ni rekod ya miaka ya themamini mkuu

Kwasasa population ya islamic with Zanzibar ni 42% without Zanzibar ni 40%

Tanga islamic 72%
Lindi islamic 70
Pwani islamic 80
Mtwara Islam 70
Zanzibar 99
Tabora islam 50
Dar 69
Singida 47



Mikoa mingine iliyobaki majority ni Christian ila mikoa ya wakrsto hawazaliani sana km mikoa ambayo ina majority islamic takwimu za vizazi ni vya kawaida

Wakrsto muache uzembe na uvivu wa kuogopa kulea na kuzaa mtoto ni riziki
Ndivyo mnadanganywa Madrasa hivyo kwenye elimu dunia?.
A 2020 Pew Forum survey estimates approximately 63 percent of the population identifies as Christian, 34 percent as Muslim, and 5 percent practice other religion
 
Acha uongo wako na upotoshaji wako hapa wa kujifanya unamfahamu Rais wetu mpendwa kuliko sisi watanzania, acha na Koma kumchafua mh Rais wetu hapa, Tena Koma kabisa
Kwa mliomfahamu Samia baada ya kumwona na ushungi ndio mnashangaa!! Enzi za samia havai ushungi akiwa kwenye NGOs zake huko tunamjua Samia si mtu wa maadili ya kiafrika, huyu mama ana uzungu mwingi uliopitiliza... hata huo mtandio anaovaa no baada ya wazee kumsihi sana avae ili apate kura za jimboni huko Zanzibar.

Zakhia Meghji hamfikii Samia Suluhu Hassan kwa uzungu.
 
Bottomline ni kuwa hapakuwa na haja ya kunyweshana! Hay unayafanya na mwandani wako...sexually seducing acts are forbidden even in the dark!
 
wewe ni chawa wa kutupa, hata hujielewi unaadika nini
Najuwa nimewaumbua ndio maana umekosa hoja nakuanza kuruka Ruka hapa, unazani mh Rais wetu Ni mjinga na akili hafifu Kama wewe Hadi atumie glasi aliyonywea mwenyeji wake? Tanzania Tumekamilika kila idara na sisi wananchi tuna Imani na wasaidizi wa mh Rais wetu mpendwa katika suala Zima la usalama wake
 
Salaam

Kitendo cha Kumnyesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.

Nataka elewa, Yani kamnywesha na kikombe chake and that means are sharing a cup?
 
Hiyo ni rekod ya miaka ya themamini mkuu

Kwasasa population ya islamic with Zanzibar ni 42% without Zanzibar ni 40%

Tanga islamic 72%
Lindi islamic 70
Pwani islamic 80
Mtwara Islam 70
Zanzibar 99
Tabora islam 50
Dar 69
Singida 47



Mikoa mingine iliyobaki majority ni Christian ila mikoa ya wakrsto hawazaliani sana km mikoa ambayo ina majority islamic takwimu za vizazi ni vya kawaida

Wakrsto muache uzembe na uvivu wa kuogopa kulea na kuzaa mtoto ni riziki

Wasukuma ni waislamu? Maana hao tu wanazaliana sana kuliko makabila yote nchini

Watu wa vijijini wanazaliana sana na hivyo vijiji uislamu haujafika.

Fanya research
 
Salaam

Kitendo cha Kumnyesha juisi Mwanaume kwa glasi anayotumia na yeye akatumia hapo hapo mwanaume alipotoa Mdomo, imetufedhehesha sana Sisi Waisilam na Jamii ya Afrika Mashariki

Haya angeyafanya nje ya Camera. Mahaba gani haya jamani?

Kumbuka rais wetu ni Mke wa Mtu.
View attachment 2365501
Kiprotocal hii imekaaje?
View attachment 2365516
Najiuliza, Baba yetu Hafidh Ameir Hafidh amemfanyia baya gani rais wetu hadi alipize kwa kumuumiza kiasi hiki?
View attachment 2365540
Rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan akiwa na rais wa Msumbiji Filipe Nyusi
View attachment 2365567
Mara mia Rajab Abdul Kahali aka Harmonize, kapeleka ujumbe unaoeleweka.
Mbona kitendo cha kawaida tu acheni kucomplicate mambo
 
Back
Top Bottom