Pendekeza hatua tuzijadili kwa kuzingatia mila na desturi zetu!Hatua ipi?😆
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pendekeza hatua tuzijadili kwa kuzingatia mila na desturi zetu!Hatua ipi?😆
Je amekosea yeye au watu wake ??Sie wananchi tunaona ni issue kubwa. Si sawa kiusalama. Sie ndo wataalam wenyewe😀
Huenda wameona, ila kwa vile wengi wanaishi kupitia ajira hizi za uchawa, basi lazima waje waandike upuuzi huu ili wapate malipo yao ya siku.Ha
Hawawezi wakafa wote Bali Kama Kuna chochote kibaya anaweza akadhurika huyo mwenyeji wake maana sisi mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani alipewa glasi nyingine na wasaidizi wake, tofauti na watu wengine humu wanavyofikiri kuwa alitumia glasi aliyomnyweshea mwenyeji wake bila kujuwa kuwa glasi ilibadilishwa kwa uharaka mkubwa Sana na hata mh Rais wetu akaipokea kwa uharaka wa kikomandoo na kuinywa Ila watu Kama Bavicha hawawezi kuona maana huwa hawana umakini wowote
Hatuna la kumfanya zaidi ya kuongea hapaPendekeza hatua tuzijadili kwa kuzingatia mila na desturi zetu!
Hatumii akili? Watu wake ndo walimtuma amnyweshe?Je amekosea yeye au watu wake ??
Bear in mind kwa sasa yupo Ebola naye ameanza fujo zake !! Kwa kweli watu wawe makini zaidi !!Sie wananchi tunaona ni issue kubwa. Si sawa kiusalama. Sie ndo wataalam wenyewe😀
Sawa basi tuongee sana mpaka aone aibu kwa kitendo chake ili asirudie tena aibu hii!Hatuna la kumfanya zaidi ya kuongea hapa
Na mabarakoa anayovaaga ni unafiki mtupu hamaanishiBear in mind kwa sasa yupo Ebola naye ameanza fujo zake !! Kwa kweli watu wawe makini zaidi !!
Uislamu umetangulia kufika Tanganyika kabla ya ukristo.. ila bado wakristo wamekuwa wengi huku dini ya kikristo ilichelewa kuja
Hata siku 1 haiwezi kutokea waislamu wakawaziid idadi wakristo.
Sababu kuu kwa wastani wa pato la familia waislamu wengi ni maskini wanakufa sana kwa kukosa hela za kuhudumia afya zao.
Pia wakristo japo hawazaliani sana ila ni wapo wengi kiidadi. Na ngumu mwanamke wa kikristo kuzaa na muislamu. Maana waislam wengi ni maskini ukitoa waislam wahindi na waislam wenye asili ya waarabu na waislamu wa zanzibar
Na hao hao wanawake wa kiislamu hasa hasa wasomi wa vyuo vikuu wanazalishwa sana na wakristo sababu waislamu wenzao hawana hela na wanawake wanapenda hela...
Mimi na wewe hatujui exactly what happened mpaka ikawa vile. ! Lakini all in all let us hope hakuna baya lolote linaweza kutokea. !!Hatumii akili? Watu wake ndo walimtuma amnyweshe?
Baya haliwezi kutokea. Tumseme ili asirudieMimi na wewe hatujui exactly what happened mpaka ikawa vile. ! Lakini all in all let us hope hakuna baya lolote linaweza kutokea. !!
Nafikiri ina ingilia puani tu hahahaHivi Corona imeisha?
Sisi wazungu hiyo haina shida sijui nyie waafrikaNimeona aibu kwa kweli.
Ooh huenda fununu za Msoga...?
Mate kwenye glassNafikiri ina ingilia puani tu hahaha
Sasa utamkosoa mkuu wa nchi?Mate kwenye glass
Kwanini asikosolewe?Sasa utamkosoa mkuu wa nchi?
Wewe uwe unatulia usiwe Kama Bavicha , mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na msaidizi wake aliyekuwa hapo mbele hatua chache, Hivyo siyo kweli kuwa alitumia glasi aliyotumia mwenyeji wake, Angalia hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea kwa uharaka na kuinywa Ile aliyopewa na msaidizi wake, muwe mnachangia baada ya kuwa na uhakika wa kile mnachokiona siyo unasoma maoni ya watu na wewe unachangia bila kuelewa kituMate kwenye glass
Hakuna utafiti wa kisayansi unaosema corona inaweza kuambukizwa kupitia chakula!!Nafikiri ina ingilia puani tu hahaha
Sa mbona povu linakutoka?Wewe uwe unatulia usiwe Kama Bavicha , mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na msaidizi wake aliyekuwa hapo mbele hatua chache, Hivyo siyo kweli kuwa alitumia glasi aliyotumia mwenyeji wake, Angalia hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea kwa uharaka na kuinywa Ile aliyopewa na msaidizi wake, muwe mnachangia baada ya kuwa na uhakika wa kile mnachokiona siyo unasoma maoni ya watu na wewe unachangia bila kuelewa kitu