Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Rais Samia katuaibisha nje ya Nchi tena. Hizi si Mila za Mtanzania

Ha

Hawawezi wakafa wote Bali Kama Kuna chochote kibaya anaweza akadhurika huyo mwenyeji wake maana sisi mh Rais wetu mpendwa mama Samia suluhu Hassani alipewa glasi nyingine na wasaidizi wake, tofauti na watu wengine humu wanavyofikiri kuwa alitumia glasi aliyomnyweshea mwenyeji wake bila kujuwa kuwa glasi ilibadilishwa kwa uharaka mkubwa Sana na hata mh Rais wetu akaipokea kwa uharaka wa kikomandoo na kuinywa Ila watu Kama Bavicha hawawezi kuona maana huwa hawana umakini wowote
Huenda wameona, ila kwa vile wengi wanaishi kupitia ajira hizi za uchawa, basi lazima waje waandike upuuzi huu ili wapate malipo yao ya siku.
 
Hoja zako sio scientific ni mtazamo

Uislam ulishindwa kuenea sana bara moja ya sababu ilikuwa kutahiriwa ilikuwa lazima utahiriwe ndio uwe muislam sasa unaelewa wasukuma na mambo ya kutahiriwa

Kitu kingine kilichokwamisha uislam kuingia bara kwa wingi ni uvivu wa waarabu hawakutaka kujihusisha na watu waliokuwa wanaishi vijijini au porini tena kwa kuhama hama

Ukifanya research yako utagundua uislam ulienea zaidi kwa makabila ya watu ambao kiasili ni wavivu ukienda lindi,tanga mtwara utaliona hili
kwa upande wa singida pale mjini ndio kuna waislam wengi wanyaturu ni wavivu sana,ila wilaya za manyoni,iramba sio wanyaturu ndio maana uislam ulishindwa kupenya

Pale tabora mjini ilikuwa njia ya waarabu wazee wa kinyamwezi ni wavivu walikuwa wanapokea zawadi za waarabu

Ujiji njia ya biashara ya utumwa kuna waislam wengi wenyewe wanajiita wamanyema hawataki kuitwa waha ili kujitofautisha

Ukienda ruvuma sehemu yenye waislam wengi ni tunduru kwasababu wale ni wavivu tofauti na wilaya zingine km songea nk

Fact ni kuwa waislam waliongezeka kinamba kwasababu wengi walikuwa hawaendelei na shule wanaanza familia mapema ukimjumlisha ndoa za wake wengi

Uislamu umetangulia kufika Tanganyika kabla ya ukristo.. ila bado wakristo wamekuwa wengi huku dini ya kikristo ilichelewa kuja

Hata siku 1 haiwezi kutokea waislamu wakawaziid idadi wakristo.

Sababu kuu kwa wastani wa pato la familia waislamu wengi ni maskini wanakufa sana kwa kukosa hela za kuhudumia afya zao.

Pia wakristo japo hawazaliani sana ila ni wapo wengi kiidadi. Na ngumu mwanamke wa kikristo kuzaa na muislamu. Maana waislam wengi ni maskini ukitoa waislam wahindi na waislam wenye asili ya waarabu na waislamu wa zanzibar

Na hao hao wanawake wa kiislamu hasa hasa wasomi wa vyuo vikuu wanazalishwa sana na wakristo sababu waislamu wenzao hawana hela na wanawake wanapenda hela...
 
Mate kwenye glass
Wewe uwe unatulia usiwe Kama Bavicha , mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na msaidizi wake aliyekuwa hapo mbele hatua chache, Hivyo siyo kweli kuwa alitumia glasi aliyotumia mwenyeji wake, Angalia hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea kwa uharaka na kuinywa Ile aliyopewa na msaidizi wake, muwe mnachangia baada ya kuwa na uhakika wa kile mnachokiona siyo unasoma maoni ya watu na wewe unachangia bila kuelewa kitu
 
Wewe uwe unatulia usiwe Kama Bavicha , mh Rais wetu alibadilishiwa glasi na msaidizi wake aliyekuwa hapo mbele hatua chache, Hivyo siyo kweli kuwa alitumia glasi aliyotumia mwenyeji wake, Angalia hata namna mh Rais wetu mpendwa alivyoipokea kwa uharaka na kuinywa Ile aliyopewa na msaidizi wake, muwe mnachangia baada ya kuwa na uhakika wa kile mnachokiona siyo unasoma maoni ya watu na wewe unachangia bila kuelewa kitu
Sa mbona povu linakutoka?
 
Back
Top Bottom