Rais Samia: Kijana aliyeongoza Uokoaji atafutiwe nafasi Jeshi la uokozi

Rais Samia: Kijana aliyeongoza Uokoaji atafutiwe nafasi Jeshi la uokozi

Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.

Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.

Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Kama amepewa KAZI Zima moto,

Zima moto wapelekwe kuwa wavuvi Ili KAZI iendelee😃😃
 
Kubwa sana hii, hata France walifanya hivi kwa yule dogo mwafrika aliyeokoa mtoto ghorofani
Sema yule dogo wa Ufaransa(Mamadou Gassama) alishindwa kazi na hakuajiriwa tena kwenye jeshi la uokoaji maana katika trial alishindwa kufika vigezo na ikabidi wamwambie atafute profession nyingine. Yeye tatizo hata kifaransa alikuwa hajui though anatoka Mali. Ila huyu Maja Munyama naona kabisa atamudu masomo.
 
Hakika Rais Samia Ni kiongozi mwenye upendo na huruma Sana kwetu watanzania, Ni kiongozi anayethamini mchango wa kila mtanzania, Ni kiongozi anayemjali kila mtanzania, Ni kiongozi mwenye moyo wa uongozi na Nikiongozi anayetambua juhudi za kila mtanzania, Ni mfariji wetu wakati wote na Tumaini letu watanzania wakati wa shida zinazohitaji kiongozi kusimama mbele yetu kutuongoza, Pole sana Rais wetu na Hongera kwa moyo wako wa uzalendo kwa nchi yetu na Taifa letu
 
Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.

Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.

Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Ushindi kwa serikali? Kwani kuna mashindano?
 
Back
Top Bottom