Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidiaLakini hujachukizwa na uzembe wa serikali kusababisha vifo?