Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Ndio maana bangi imekatazwaFukuza MAJALIWA,fukuza mbarawa,fukuza masauni,
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana bangi imekatazwaFukuza MAJALIWA,fukuza mbarawa,fukuza masauni,
Hata ukimsikiliza ni kijana mwenye akili sana. Nimefurahishwa na hili.Maja Munyama ni jasili na ana akili za kunusa mambo na kutafuta solutions. Imagine alijiuliza why ndege leo inatokea Maeneo ambayo si kawaida kutokea ?
Siyo mnakaa na kuwapigia keleleMaja Munyama ni jasili na ana akili za kunusa mambo na kutafuta solutions. Imagine alijiuliza why ndege leo inatokea Maeneo ambayo si kawaida kutokea ?
QT ili apate likaratasi la cheti? Waachane na makaratasi ya vyeti huyu ni mtendaji, afanyiwe training kwa vitendo aingie mzigoni.Hata akiwa Hana cheti wamfadhili asome QT apate ajira,
SI hii biashara ya wenye ajira na marupurupu kibao wakisisitiza watu wajiajiri kama ni kitu kirahisi vile!!
Naunga mkonoKuna uwezekano wa kwenda kuua kabisa uwezo wake! Hao wenye mafunzo na uzoefu hawajatokea, unafikiri nini kitampata huyo jamaa. Ni bora aendelee na uvuvi.
Siku hzi umekuwa mweupe sana mkuu, kazi ya Rada ni ipi sasa!Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia
Cha ajabu pamoja na kujua kwake kuogelewa kikiwa kama kigezo kilichomuwezesha kuogelewa, akimaliza mafunzo utasikia kapangiwa zimanoto singida au dodomaNi agizo kutoka kwa Rais Samia
Amiri Jeshi Mkuu ameagiza Waziri wa mambo ya Ndani mh Masauni kuanza mchakato wa ajirar ya huyo kijana mara moja
Kijana huyu ndio alizamia na kwenda kufungua mlango wa ndege na hatimaye abiria 24 wa Precision Air iliyozama kuokolewa
Source TBC
======
Waziri mkuu akiwa kwenye shughuli ya kuaga miili ya kuaga marehemu waliopata ajali kwenye ndege ya precision amesema Rais Samia ametoa agizo kijana aliyewanusuru watu waliokwama kwenye ndege hiyo atafutiwe nafasi kwenye Jeshi la uokozi.
Pia Serikali kugharamia mazishi ya wote waliofariki kwenye ajali hiyo.
Wewe ulikuwa ndani ya ndege ama unaandika tu nyuma ya keyboard?Safi sana,hongera zake
Lakini ukiangalia upande wa pili kama sio haraka zake inawezekana hyo ndege ingevutwa mpaka kwenye kina kifupi na ndo mlango ungefunguliwa wangeweza kutoka watu wengi zaidi,labda hata vifo visingekuwepo,maana baada ya kufunguo huo mlango maji yalianza kuingia ndani ya ndege
Yote niliyoyaeleza Ni Tabia njema za kizalendo alizonazo Rais wetuMkuu, suala hapo ni Rais ameguswa na uhodari, ujasiri na uthubutu wa kijana iliyopelekea Watanzania wenzetu kunusilika kufa majini. Jambo hili limepelekea kuagiza apewe kazi yenye kuendana na kazi nzuri aliyoifanya.
Ukiondoa pengine suala la yeye kuwa mfariji kwa wafiwa na majeruhi wa ajali, hayo mengine sijui mwenye huruma, sijui ni mwenye kujali n.k. sidhani kama ulipaswa kuyagusia hapa katika hoja iliyopo mezani.
Fiber ya Tsh milioni 50 ingemtosha kwa ZiwaniWangemuwezesha kwenye hiyo fani yake ya uvuvi iyoizoea.
Wangempa boti nzuri ya uvuvi na fedha kiasi.
Huko wanakwenda kumpoteza tu.
Ndiyo! Lakini mkuu maoni kama hayo uliyoyatoa yalipaswa kuwekwa kwenye uzi wenye maudhui kama hayo. Lakini katika uzi huu ilitosha tu ujikite katika kutambualiwa kwa uhodari wa kijana jasiri mbele ya Rais na hatimaye akaambulia cheo, jambo ambalo litachochea hamasa ya vijana wengi kujitokeza pindi changamoto zitapoijitokeza.Yote niliyoyaeleza Ni Tabia njema za kizalendo alizonazo Rais wetu