Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidiaLakini hujachukizwa na uzembe wa serikali kusababisha vifo?
Lakini pia wavuvi waliojeruhiwa wanapaswa kupewa kifuta machozi.Mimi naomba yule aliemkataza huyo kijana asivunje kioo atajwe. Tumpe pongezi kwa kuua marubani
Kabisa hapo jibu limepatikana.Vic at least sasa majibu ya maswali ya jana yanaanza kupatikana ikiwepo swali la ni vipi wale watu 26 walitoka ndani ya ndege
Kama amepewa KAZI Zima moto,Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.
Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.
Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Sema yule dogo wa Ufaransa(Mamadou Gassama) alishindwa kazi na hakuajiriwa tena kwenye jeshi la uokoaji maana katika trial alishindwa kufika vigezo na ikabidi wamwambie atafute profession nyingine. Yeye tatizo hata kifaransa alikuwa hajui though anatoka Mali. Ila huyu Maja Munyama naona kabisa atamudu masomo.Kubwa sana hii, hata France walifanya hivi kwa yule dogo mwafrika aliyeokoa mtoto ghorofani
Ushindi kwa serikali? Kwani kuna mashindano?Yule kijana jasiri Aliyesaidia Kuokoa abiria ajali ya ndege amepewa kazi kwenye Jeshi la Zimamoto.
Serikali imeagiza taarifa zake zichukuliwe na angizwe Zimamoto mara moja.
Huu ni ushindi mkubwa kwa serikali, hii itatoa motisha kwa wananchi kuweza kusaidia kwenye majanga mbalimbali
Acha ujuha, iambie serikali itamke taarifa zilichelewa kufika!!Nyie watu wajinga mno, taarifa zilichelewa kufika kwa serikali, au ulitaka waote? Wavuvi ndio walikua karibu na ndio maana walikua wa kwanza kusaidia