Rais Samia: Kisiasa tupo vizuri, leo wanangu wamejipanga na Mabango yao nikawaambia nimewaona, nikawapungia Mkono

Inaamaanisha
Yeye ni mteule wa Mungu
Mkipambana nae mtafeli hehe
 
Nashaur chuma kirudi!! Over
 

Kwanini alieakimbia? Haya maneno alitakiwa kuyasema mbele yao awambie sio kuongelea mafichoni!
 
Kwa hiyo hakuwasalimia, hakuwapungia mkono na wala hakusoma mabango kama alivyodai?

Amandla...
 

Wabongo mpaka wajifiche walindwe na dola ya mzungu ndiyo wanapata nguvu ya kumpigia kelele Rais. Huko nyumbani wanaufyata. Wazanzibari pekee ndiyo wanaume wanaoweza kazi ya kupigania haki. Waliobakia ni waoga kama kunguru.
 
Mama alipiga selfie na mange na hakudhurika

Huo ukolo wako peleka msimbazi
 
Ingekua huko Bongo wangepata cha mbwa koko , na wasingesahau maisha yao yote, ila Mungu fundi sana , waliokua wanamshangilia jiwe ndio wako na mama wanamwambia anaupiga mwingi hahaaaa woders shall never end.
 

Mwenye uwezo mkubwa ni wewe uliyeshindwa hata kuitoa familia yako kwenye ukata
 
Wao walitaka ashikane nao mkono. Waliberali wakubwa hawa
Kuna dhambi gani kushikana mikono na watanzania wenzake? Mbona alishikana mikono na watanzania na wasio watanzania alipohunduria UNGA?

Amandla...
 
Sisi hatutuka ajira temporary. Ajira za tanzanite au mabarabara zilikuwa temporary tu
Duh! Akili ndogo sana wewe! Watu wametoja na ujuzi mkubwa kwenye hizo ajira! Wigo wa kupanua miradi mikubwa ndo ajira zenyewe!
Hata siku moja Serikali haiwezi kuajiri watu wote!,
Mwenendo alioendanao JPM ulikuwa mzuri maana kutokatikakatika umeme watu walifanya shughuli zao bila adha ya umeme!
 
Mbona Samia anaajiri kila Kona. Walimu, madaktari ambao jpm alishindwa kabisa ikabaki ni vilio kila Kona kila mtu anawaza kuwa machinga tu
 
Kweli we ni "kanyama"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…