Rais Samia kuanza kusafiri na Wasanii kwenye ziara zake nje ya nchi
Hizo ni kampeni bila shaka za chini kwa chini. Kiufupi tutegemee kila kundi muhimu katika jamii kuguswa kwa namna yoyote ile kabla ya hiyo 2025 kufika.

Imagine Askofu Mkuu Ruwaichi kwa kufanya tu Jubilei yake ya miaka 25 ya Uaskofu; alipewa zawadi ya milioni 10!
 
Labda huko korea kusini hakuna wanamuziki, wapo wacheza muvi, tunajiuliza ni mcheza bongo muvi gani aliyepata shavu la kwenda huko akiwa na msafara wake?
 
We si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
 
We si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
Ikifika zamu yetu sisi wauza madafu atupereke oman
 
Nenda kwa yule mganga mmama wa bagamoyo akupike uonekane safari utaenda zote
Ngoja nisumbirie awe katika Period ( Blidi ) yake ndiyo nikamtafute kwani akiwa na hiyo Hali ndiyo anakuwa Hatari sana.
 
Ngoja nisumbirie awe katika Period ( Blidi ) yake ndiyo nikamtafute kwani akiwa na hiyo Hali ndiyo anakuwa Hatari sana.
Duh kwahio mganga anatangazaga kabisa yupo kwenye blidi wateja ndo waje,,,,au wateja mnajuaje kwamba muda muafaka umefika
 
We si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
Unaweza ukaniwekea hapa post yangu yoyote ya tokea nilipojiunga rasmi hapa JamiiForums mwaka 2013 niliyosema kuwa Mimi nipo System ( TISS ) huko ambako unajiita Jikoni ( kwenye Habari za Ndani ) kukithibitisha pasi na Shaka hiki ulichokiandika hapa? Vipi hujavutiwa kutaka kufanya Kazi ya Usemaji Singida Big Stars FC? Kumbukumbu ya mwaka 2016 bila shaka bado unayo. Ngoja niishie hapa kwa Leo.
 
unafikiri ungeambiwa wewe umpe kampani usingeenda acha wivu wale wameitwa tu na sio kwamba wataongeza gharama ya hilo lindege
 
We si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
Achana kijana mjivuni asiejua lolote huyo.
 
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mara nyingi anapokwenda nje ya Nchi huwa anafuatana na jopo la Wafanyabiashara lakini kwa sasa anataka kugeuka kidogo na atakuwa anasafiri pia na Wasanii ili kuwapa nafasi ya kujifunza zaidi kutoka nje ya Nchi na kutanua wigo wa kazi zao.

Rais Samia amesema hayo usiku huu wa leo May 25,2024 wakati akishiriki uzinduzi wa album mpya ya Msanii Harmonize katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambapo amesema “Tunapofungua Nchi Wageni wanakuja kwetu na sisi tunakwenda kwao na mara nyingi ninapokwenda kwao huwa nafuatana na jopo la Wafanyabiashara, sasa nataka kugeuka kidogo nataka sasa niwe nachukua Wasanii”

“Nataka nifuatane na Wasanii inategemea ratiba yangu kule nakokwenda lakini kila ninapokwenda kukiwa na matamasha ya utamaduni nitabeba Wasaniii lakini zaidi nitakuwa na safari keshokutwa na moja ya kazi ninayokwenda kuifanya ni kutafuta nafasi za mafunzo kwa Wasanii wetu hasa Waigizaji”

“Tunakwenda Korea na mnawajua ni Wazuri sana kwa kuigiza, michezo yao naona inatambatamba kwenye TV zetu, kwahiyo tunaenda kutafuta nafasi za mafunzo na nadhani tutafanikiwa”
Ni jambo zuri sana asiwasahau umoja wa bodaboda,bajaj,malori,mabus,wazee wa kubeti...nila kusahau wazee wa kisimiri na olkokola
 
Back
Top Bottom