mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 88,759
- 123,368
Hao tenaShilole na yule mwenzake hawawezi kosa hiyo trip!
Tuliosomea Cuba tushaelewa!
Naona rais anaenda nje kuwatafutia matamasha ya kufanya
Ova
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hao tenaShilole na yule mwenzake hawawezi kosa hiyo trip!
Tuliosomea Cuba tushaelewa!
Daah!! ukisikia kupatwa kwa nchi ndio huku sasaRais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mara nyingi anapokwenda nje ya Nchi huwa anafuatana na jopo la Wafanyabiashara lakini kwa sasa anataka kugeuka kidogo na atakuwa anasafiri pia na Wasanii ili kuwapa nafasi ya kujifunza zaidi kutoka nje ya Nchi na kutanua wigo wa kazi zao.
Rais Samia amesema hayo usiku huu wa leo May 25,2024 wakati akishiriki uzinduzi wa album mpya ya Msanii Harmonize katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambapo amesema “Tunapofungua Nchi Wageni wanakuja kwetu na sisi tunakwenda kwao na mara nyingi ninapokwenda kwao huwa nafuatana na jopo la Wafanyabiashara, sasa nataka kugeuka kidogo nataka sasa niwe nachukua Wasanii”
“Nataka nifuatane na Wasanii inategemea ratiba yangu kule nakokwenda lakini kila ninapokwenda kukiwa na matamasha ya utamaduni nitabeba Wasaniii lakini zaidi nitakuwa na safari keshokutwa na moja ya kazi ninayokwenda kuifanya ni kutafuta nafasi za mafunzo kwa Wasanii wetu hasa Waigizaji”
“Tunakwenda Korea na mnawajua ni Wazuri sana kwa kuigiza, michezo yao naona inatambatamba kwenye TV zetu, kwahiyo tunaenda kutafuta nafasi za mafunzo na nadhani tutafanikiwa”
Usanii haundelezwi kwa wasanii kuzunguka na rais. Huyu mama kichwani ni sifuri kabisa.Isiwe ni wasanii wa muvi na muziki tu, wachukuliwe hadi wachoraji, wachongaji na wasanii wengine. Kina mpoto, shilole, steve, mond wanajulikana sana, wachukuliwe wasanii wasiojulikana kabisa na wao wajulikane
Tukiendelea hivi kimasihara tutakuja kuwa kama Congo. Watu wanaopotea mara nyingi wanaaamini hawawezi kufeli kwa sababu haijawahi kuwatokea. Ikitokea wanashtuka imekuwaje ?Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mara nyingi anapokwenda nje ya Nchi huwa anafuatana na jopo la Wafanyabiashara lakini kwa sasa anataka kugeuka kidogo na atakuwa anasafiri pia na Wasanii ili kuwapa nafasi ya kujifunza zaidi kutoka nje ya Nchi na kutanua wigo wa kazi zao.
Rais Samia amesema hayo usiku huu wa leo May 25,2024 wakati akishiriki uzinduzi wa album mpya ya Msanii Harmonize katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambapo amesema “Tunapofungua Nchi Wageni wanakuja kwetu na sisi tunakwenda kwao na mara nyingi ninapokwenda kwao huwa nafuatana na jopo la Wafanyabiashara, sasa nataka kugeuka kidogo nataka sasa niwe nachukua Wasanii”
“Nataka nifuatane na Wasanii inategemea ratiba yangu kule nakokwenda lakini kila ninapokwenda kukiwa na matamasha ya utamaduni nitabeba Wasaniii lakini zaidi nitakuwa na safari keshokutwa na moja ya kazi ninayokwenda kuifanya ni kutafuta nafasi za mafunzo kwa Wasanii wetu hasa Waigizaji”
“Tunakwenda Korea na mnawajua ni Wazuri sana kwa kuigiza, michezo yao naona inatambatamba kwenye TV zetu, kwahiyo tunaenda kutafuta nafasi za mafunzo na nadhani tutafanikiwa”
Asiwasahau bodaboda, machinga, madereva daladala, bajaji na mama lishe pamoja na wakulima na wafugaji kwenye ziara zake maana hao ndo wanajenga nchi
Unaelewa /.unajua majukumu ya Makamu wa Rais?!Sijui Magufuli aliwazaga nini kuteua jitu kama hili kuwa lisaidizi lake.
Imenibidi nicheke tu [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tukiendelea hivi kimasihara tutakuja kuwa kama Congo. Watu wanaopotea mara nyingi wanaaamini hawawezi kufeli kwa sababu haijawahi kuwatokea. Ikitokea wanashtuka imekuwaje ?
Umesema ukweli kabisa!Bure kabisa
Jambo kama hili linatia kichefuchefu sana, sijui Ikulu hii ya siku hizi imekumbwa jinamizi gani!!!!??? Hivi inawezekana vipi Rais wa nchi ahudhurie kwenye mikusanyiko ya kipuuzi ya namna hii???!???? Hivi ni Watu gani hasa ambao wamekuwa wakimshauri Rais kufanya mambo ya kijinga kama haya???? Nina mashaka makubwa Sana juu ya Watu wa karibu ambao wanafanya kazi Ikulu katikà Ofisi ya Rais, hawamshauri vizuri Rais kiasi Cha kumfanya Rais huyo aonekane kama kituko mbele ya jamii. Very sad indeed!Harmonize ana hadhi gani mpaka rais ahudhurie uzinduzi wa albam yake?
Swali zuri. Nani wa kulijibu sasa?Hao wasanii atakaoambatana nao watalipwa na nani? Kodi zetu au fedha zake binafsi kutoka mfukoni mwake?