Nenda kwa yule mganga mmama wa bagamoyo akupike uonekane safari utaenda zoteBila shaka na Siku nyingine atasema atakuwa anaenda Ng'ambo na Members wa JamiiForums akianza na GENTAMYCINE.
halafu ziara inayofuata atamjumuisha na LOTH HEMABila shaka na Siku nyingine atasema atakuwa anaenda Ng'ambo na Members wa JamiiForums akianza na GENTAMYCINE.
Nimesikia kaenda na Lulu, huyu naye ni msanii?Bila shaka na Siku nyingine atasema atakuwa anaenda Ng'ambo na Members wa JamiiForums akianza na GENTAMYCINE.
Bosheni tu huyu nayeWe si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
Ikifika zamu yetu sisi wauza madafu atupereke omanWe si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
Ngoja nisumbirie awe katika Period ( Blidi ) yake ndiyo nikamtafute kwani akiwa na hiyo Hali ndiyo anakuwa Hatari sana.Nenda kwa yule mganga mmama wa bagamoyo akupike uonekane safari utaenda zote
Duh kwahio mganga anatangazaga kabisa yupo kwenye blidi wateja ndo waje,,,,au wateja mnajuaje kwamba muda muafaka umefikaNgoja nisumbirie awe katika Period ( Blidi ) yake ndiyo nikamtafute kwani akiwa na hiyo Hali ndiyo anakuwa Hatari sana.
Unaweza ukaniwekea hapa post yangu yoyote ya tokea nilipojiunga rasmi hapa JamiiForums mwaka 2013 niliyosema kuwa Mimi nipo System ( TISS ) huko ambako unajiita Jikoni ( kwenye Habari za Ndani ) kukithibitisha pasi na Shaka hiki ulichokiandika hapa? Vipi hujavutiwa kutaka kufanya Kazi ya Usemaji Singida Big Stars FC? Kumbukumbu ya mwaka 2016 bila shaka bado unayo. Ngoja niishie hapa kwa Leo.We si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
atakuwa anasafiri pia na Wasanii ili kuwapa nafasi ya kujifunza zaidi kutoka nje ya Nchi na kutanua wigo wa kazi zao.
Achana kijana mjivuni asiejua lolote huyo.We si unasemaga upo jikoni hivyo una za ndani? Umeshindwaje kujua kwamba huko Korea ameenda na waigizaji, ziara ya Marekani ndio ataenda na wanamuziki?
Ni jambo zuri sana asiwasahau umoja wa bodaboda,bajaj,malori,mabus,wazee wa kubeti...nila kusahau wazee wa kisimiri na olkokolaRais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amesema mara nyingi anapokwenda nje ya Nchi huwa anafuatana na jopo la Wafanyabiashara lakini kwa sasa anataka kugeuka kidogo na atakuwa anasafiri pia na Wasanii ili kuwapa nafasi ya kujifunza zaidi kutoka nje ya Nchi na kutanua wigo wa kazi zao.
Rais Samia amesema hayo usiku huu wa leo May 25,2024 wakati akishiriki uzinduzi wa album mpya ya Msanii Harmonize katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es salaam ambapo amesema “Tunapofungua Nchi Wageni wanakuja kwetu na sisi tunakwenda kwao na mara nyingi ninapokwenda kwao huwa nafuatana na jopo la Wafanyabiashara, sasa nataka kugeuka kidogo nataka sasa niwe nachukua Wasanii”
“Nataka nifuatane na Wasanii inategemea ratiba yangu kule nakokwenda lakini kila ninapokwenda kukiwa na matamasha ya utamaduni nitabeba Wasaniii lakini zaidi nitakuwa na safari keshokutwa na moja ya kazi ninayokwenda kuifanya ni kutafuta nafasi za mafunzo kwa Wasanii wetu hasa Waigizaji”
“Tunakwenda Korea na mnawajua ni Wazuri sana kwa kuigiza, michezo yao naona inatambatamba kwenye TV zetu, kwahiyo tunaenda kutafuta nafasi za mafunzo na nadhani tutafanikiwa”