Rais Samia kufanya ziara nchini Oman kuanzia June 12

Rais Samia kufanya ziara nchini Oman kuanzia June 12

12 June 2022
Muscat, Oman

Sultani wa Oman maulana Haitham bin Tariq Al Said ampokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan na kupigiwa miziga 21



Rais Samia Suluhu Hassan ameongozana ujumbe mzito wakiwemo Mh. January Yusuf Makamba waziri wa Nishati, Mh. Dr. Pindi Chana waziri wa utalii , naibu waziri mambo ya nje balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, Dr. Khalid Salum Mohamed waziri wa majenzi na makazi SMZ, naibu katibu mkuu wizara ya mambo ya nje Mh. balozi Fatma Mohammed Rajab na balozi wa Tanzania katika sultanate ya Oman mh. balozi Abdallah Abasi Kilima
 
1655106873955.png
 
12 June 2022
Muscat, Oman

His Majesty hosts dinner for President of Tanzania​


1655106960636-png.2259241

His Majesty Sultan Haitham bin Tarik hosted an official dinner at Al Alam Palace guest house on Sunday evening in honour of President Samia Suluhu Hassan of Tanzania. Prior to the dinner, His Majesty the Sultan and the Tanzanian President exchanged commemorative gifts on the occasion of the Tanzanian President’s visit to Oman.

The dinner was attended by members of the Royal Family, ministers, chairmen of the State Council and Shura Council, commanders of the Sultan’s Armed Forces and the Royal Oman Police, as well as ambassadors of Arab and friendly countries, members of the State Council and Shura Council, undersecretaries and some ambassadors at the Foreign Ministry.
 
12 June 2022
Muscat, Oman

Sultani wa Oman maulana Haitham bin Tariq Al Said ampokea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan na kupigiwa miziga 21



Rais Samia Suluhu Hassan ameongozana ujumbe mzito wakiwemo Mh. January Yusuf Makamba waziri wa Nishati, Mh. Dr. Pindi Chana waziri wa utalii , naibu waziri mambo ya nje balozi Mbarouk Nassor Mbarouk, Dr. Khalid Salum Mohamed waziri wa majenzi na makazi SMZ, naibu katibu mkuu wizara ya mambo ya nje Mh. balozi Fatma Mohammed Rajab na balozi wa Tanzania katika sultanate ya Oman mh. balozi Abdallah Abasi Kilima
Hayo majina ya alio ongozana nao...mbona mbona!!!
 
Hayo majina ya alio ongozana nao...mbona mbona!!!

Ujumbe umekaa kimkakati ili nchi ya Tanzania iwe kupata fursa ki Geopolitics na kiuchumi mfano miradi ya ujenzi bandari Bagamoyo na bandari mpya Zanzibar kuwa kitovu cha biashara Afrika Mashariki na nchi za maziwa Makuu

 
Mazungumzo ya nchi mbili Tanzania na Oman

Sultan Sultan Haitham bin Tarik na rais Samia Suluhu Hassan wamefanya mazungumzo ya mashirikiano baina ya taifa la Omani na Tanzania.

Pia mheshimiwa rais Samia Hassan alitembelea kituo cha saratani ya watoto Dar Al Hanan cha the Omani Cancer Society kinachotoa huduma ya wagonjwa wa cancer na kuelezewa kwa undani shughuli zake .


Muscat:



The talks explored the strong bilateral relations binding the two countries and ways of elevating them to realise the aspirations of the Omani and Tanzanian peoples, in addition to reviewing a number of matters of concern to both sides.



The two leaders also exchanged views on various matters of common interest.

Earlier in the day, the Tanzanian President visited the national museum and was briefed on the history and civilization of the Sultanate.



The President also paid a visit to Dar Al Hanan of the Omani Cancer Society, during which she was briefed about the various departments of the establishment, its objectives, the role it plays, and the services and facilities it provides for children with cancer
 
13 June 2022

KAZI ALIZOFANYA MH. RAIS SAMIA HASSAN SIKU YA LEO 13 JUNI 2022

 
Back
Top Bottom