Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,503
- 13,463
Gazeti la "The Washington Post" liliandika kuwa Samia aliahidi kutoa Wanyama bila kuombwa.Wanaharakati koko wataiunganisha safari hii na huu uzushi wao unaoendelea sasa hivi. Ila mwisho wa siku aibu itakuwa yao tu. Lets wait.
Hii kitaalam tunasema kujipendekeza