The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Utaishia ku deferentiate ila hakuna unachoweza kufanyaUchaguzi upo mbali sana jamani daaaaa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utaishia ku deferentiate ila hakuna unachoweza kufanyaUchaguzi upo mbali sana jamani daaaaa
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.
Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.
Mungu sio mjomba wako,endelea kumtaja kwenye mambo ya kipuuzi utapata unachokitafuta maana huwa mnajitia hamnazo.Maskini wanyama pori wetu.
Mungu tunakuomba ulinde Rasilimali zetu.
Ingekuwa ni hasara,matunda haya yasingepatikana 👇Yeye tu wakuswampa kwa watu kila uchwao. Tumepata hasara sana.
Faida za hizo ziara ni nyingi sana ila mojawapo ni kama hii hapa 👇Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.
Tokea ameanza kusaini hiyo mikataba hakuna la maana lililofanyika mpaka sasa.Faida za hizo ziara ni nyingi sana ila mojawapo ni kama hii hapa 👇
Kama ulivyofanya sherehe kwa yule mtangulizi wake.Siku mtu akifa nafanya sherehe
Omani🤔Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.
Azungumze nao kuhusiana na ujenzi wa bandari ya bagamoyo. Alete wawekezaji ili nchi isonge mbele.Rais Samia Suluhu Hassan anatarajiwa kufanya ziara ya siku 3 nchini Oman mara baada ya kualikwa na kiongozi wa nchi hiyo.
Ziara hiyo itaanza Juni 12 mpaka Juni 15. Hii ni ziara nyingine ya Rais Samia katika kile anachokiita kuifungua nchi kiuchumi.