Rais Samia kufanya ziara ya kikazi nchini Korea Kusini kuanzia Mei 31 - Juni 6

Hivi kwanini kiongozi wa China Urusi au Marekani na hata Brazil hawana ziara nyingi hivi kama hawa wa huku kwetu?
Au ndio huwa wanakwenda kuomba?
Wapo busy na nchi zao kule hakuna utani na mali za umma ndiyo maana hakuna V8 kama huku na wakati nchi zao ndiyo zinatengeneza. Poor leader
 
JK party 2
Jamii ya pwani haifai kabisa kupewa mamlaka makubwa kuongoza nchi...wanapenda sana sherehe na kusafiri!.
Uongozi wa Sa100 na ule wa JK unashabihiana sana kwa mengi!.
Well basicaly jamii za watu wa pwani hawapendi shida, wavivu, watu wa starehe sana. Hawapendi challenge.
Althought kuwa few exeptions ambao wanweza uongozi but overall si kitu chao kabisa
 
Safari moja tu ya jirani yetu wa Kenya nchini USA, William Ruto imekuwa na tija kubwa kuliko safari zote zaidi ya 50 za Mama tangu achukue uongozi wa nchi. Tujifunze kwa jirani uzalendo wa ukweli si mambo ya kuchezea kodi za maskini na kwenda kupiga mnada nchi yako kwa faida ya familia yako na washirika wako wachache.
 
......nadhani ndo ziara hii alizungumza juzi kwamba ataambatana na baadhi ya wasanii wa filamu wakapate uzoefu mpya huko.....
 
Kazi pekee anaweza ni kusafiri, kuteua, kutengua na kuhamisha hakuna la maana anaweza
Uwe na adabu kwa Mheshimiwa Rais.au unafikiri anakwenda kule kutalii tu? Hufahamu anakwenda kwa ajili ya maslahi mapana ya Taifa letu? Hufahami ni katika ziara hiyo kutasainiwa mikataba mbalimbali pamoja na makubaliano mengi katika masuala tofauti tofauti?
 
Acha unafiki wako wewe..kwani hujaona ziara aliyofanyaga china ilipelekea kusamehewa Deni la takribani Billion 31?

Unafahamu kuwa Rais wa kenya alikodi ndege binafsi ambayo wakenya wanalalamika kuwa imetumia gharama kubwa sana?

Acha ulimbukeni na ushamba ndugu yangu.
 
Well basicaly jamii za watu wa pwani hawapendi shida, wavivu, watu wa starehe sana. Hawapendi challenge.
Althought kuwa few exeptions ambao wanweza uongozi but overall si kitu chao kabisa
Acha mawazo ya kibaguzi na chuki kwa watu.dhambi ya ubaguzi ni sawa na kula nyama ya mtu ambapo huwezi kuacha wala kukoma.
 
Mama atuongoze maisha yake yote mpaka kifo kitutenganishe... Hakuna na hakuwahi na hatotokea kama yeye.. Sasa nchi inakwenda kufaidika na MIKOPO ya Bei nafuu....
Bravo Sana!!!!
 
Punguza munkari na presha tulia andika vizuri ulipokea basi edit, mbona umepaniki???

Nani hajui mama anaupiga mwingi???
 
Nilishangaa sana juzi kwenda ziara kwa Harmonise huku wafanyakazi wake akiwakimbia mei mosi
Nani kakwambia kuwa aliwakimbia? Hufahamu kuwa alikuwa nje ya Nchi? Hata kama pia angekuwepo na kwenda vipi kama hana dhamira ya kuwaongezea mishahara,kuwapandisha madaraja na kuboresha maslahi yao kwa ujumla? Si angekwenda tu na kuzungumza na kuondoka? Lakini watumishi wa umma wana imani kubwa sana na uongozi na serikali ya Mheshimiwa Rais kwa kuwa wanatambua namna anavyowajali na kuwapenda.kwa sababu wanafahamu ya kuwa ni wakati wake ndio wamepata kupandishwa madaraja,kulipwa stahiki zao,kupewa nyongeza ya mshahara ya kila mwaka,kulipwa malimbikizo ya madeni yao n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…