Pre GE2025 Rais Samia kufurahia maigizo ya mipasho na vichambo unavyotoa kwa wananchi inaelezea ni kwa jinsi gani hufai kuwa Rais

Pre GE2025 Rais Samia kufurahia maigizo ya mipasho na vichambo unavyotoa kwa wananchi inaelezea ni kwa jinsi gani hufai kuwa Rais

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Yaani Rais Samia unawapa kazi kubwa kweli chawa kukusafisha:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:, kila wakianza kupiga hatua kuanza kuondoa tope unaenda kuogelea kwenye dimbwi kabisaaa usionekane hata ukucha.


Yaani wanafanya maigizo ambayo yanakukandamiza wewe na kuzidi kuonesha picha mbaya nawe unashangilia na kupiga makofi kuonesha kuwa ume approve!

Yaani unazidi kuwapa sababu ya kupigia mstari statement yao kuwa hakuna zaidi ya mipasho kutoka kwako. Igizo hilo lilitakiwa lipigwe pini huko huko kabla hata watoto hawajaanza kukarishwa!

Utafanya wanawake wawe na kazi kubwa sana kuja kuchaguliwa kwenye nafasi za uongozi maana umeacha legacy mbaya nyuma yako.

Kitabu utakachokuja kuandika na kuomba msamaha wa kweli na uongo hazitasaidia.

Unaweza usiwe na elimu kubwa kama marais wengine waliopita lakini ndio ufeli hata kwenye washauri? Umeshindwa kupata washauri wanaokupa ukweli mchungu walau hata umalizie vizuri maana vya nyuma vimepita huwezi kuvifuta!

Au ndio umekata tamaa liwalo na liwe?

Nimelia sana na kububujikwa kwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::catJAMCRY:
 
Wakuu,

Yaani Rais Samia unawapa kazi kubwa kweli chawa kukusafisha:BearLaugh::BearLaugh::KEKLaugh:, kila wakianza kupiga hatua kuanza kuondoa tope unaenda kuogelea kwenye dimbwi kabisaaa usionekane hata ukucha.


Yaani wanafanya maigizo ambayo yanakukandamiza wewe na kuzidi kuonesha picha mbaya nawe unashangilia na kupiga makofi kuonesha kuwa ume approve!

Yaani unazidi kuwapa sababu ya kupigia mstari statement yao kuwa hakuna zaidi ya mipasho kutoka kwako. Igizo hilo lilitakiwa lipigwe pini huko huko kabla hata watoto hawajaanza kukarishwa!

Utafanya wanawake wawe na kazi kubwa sana kuja kuchaguliwa kwenye nafasi za uongozi maana umeacha legacy mbaya nyuma yako.

Kitabu utakachokuja kuandika na kuomba msamaha wa kweli na uongo hazitasaidia.

Unaweza usiwe na elimu kubwa kama marais wengine waliopita lakini ndio ufeli hata kwenye washauri? Umeshindwa kupata washauri wanaokupa ukweli mchungu walau hata umalizie vizuri maana vya nyuma vimepita huwezi kuvifuta!

Au ndio umekata tamaa liwalo na liwe?

Nimelia sana na kububujikwa kwa machozi ya huzuni:PeepoRunCry::PeepoRunCry::catJAMCRY:
Mkuu, ni mara yako ya kwanza kuona kitu kama hiki? FYI, duniani kote kinafanyika!
 
Mkuu, ni mara yako ya kwanza kuona kitu kama hiki? FYI, duniani kote kinafanyika!
Kuacha watoto waigiza vichambo vyake kwa wananchi na halafu nao wakafurahia? Haya tuletee hiyo nchi na mfano wa kilichofanyika kama hivyo. Nchi nyingine wako serious na haki za watoto, huwezi ukakuta mzazi anakubali mtoto wake kuwa exposed kwenye ujinga kama huu
 
Kuacha watoto waigiza vichambo vyake kwa wananchi na halafu nao wakafurahia? Haya tuletee hiyo nchi na mfano wa kilichofanyika kama hivyo. Nchi nyingine wako serious na haki za watoto, huwezi ukakuta mzazi anakubali mtoto wake kuwa exposed kwenye ujinga kama huu
This is much ado about nothing!
 
Back
Top Bottom