Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanaendelea kutafutwa.,Wala haihitaji Rais kuamuri maana wenye wajibu huo kisheria wapo.Kuna jamaa mmoja alikuwa anasema hata kwa msiba. Wachawi huwa wanalia sana. Na akikuroga hadi Hospital anakuja kukuangalia unavyoteseka. Anakupa na pole. Anakuletea na chakula.
Wachawi wapo hivyo. Kusema rais anagharamia matibabu ni uchawi tu huo huo kama wa miaka ya Kikwete. Aliyemteka Dr. Ulimboka mnajua alipelekwa wapi? Aliye muua Mwangosi?
Huo ni UNAFIQ MANTASHALLAH. Kuli nalih alihutujilah wal nafiq wallah.
RAIS AMURU WALIOFANYA HUO MNYAMA WAKAMATWE WANAJULIKANA. SI ALIPELEKWA OYSTERBAY? WAANZIE PALE. NA MAWASILIANO YOTE.
Huu usanii ni kujifunza from Kikwete. Ni Unafiq Mantashallah.Wanaendelea kutafutwa.,Wala haihitaji Rais kuamuri maana wenye wajibu huo kisheria wapo.
Kwani waliomuua mtoto Albino ni Rais aliamuru? Si ni Polisi wenyewe wanafahamu wajibu wao kisheria au?
Hujawahi kusikia nitakupiga nikulipe?Kuna jamaa mmoja alikuwa anasema hata kwa msiba. Wachawi huwa wanalia sana. Na akikuroga hadi Hospital anakuja kukuangalia unavyoteseka. Anakupa na pole. Anakuletea na chakula.
Wachawi wapo hivyo. Kusema rais anagharamia matibabu ni uchawi tu huo huo kama wa miaka ya Kikwete. Aliyemteka Dr. Ulimboka mnajua alipelekwa wapi? Aliye muua Mwangosi?
Huo ni UNAFIQ MANTASHALLAH. Kuli nalih alihutujilah wal nafiq wallah.
RAIS AMURU WALIOFANYA HUO MNYAMA WAKAMATWE WANAJULIKANA. SI ALIPELEKWA OYSTERBAY? WAANZIE PALE. NA MAWASILIANO YOTE.
Waliomuiba mtoto albino walimpeleka pia Karakana ya Osterbay? Basi ndo maana walipatikana kirahisi sana.Wanaendelea kutafutwa.,Wala haihitaji Rais kuamuri maana wenye wajibu huo kisheria wapo.
Kwani waliomuua mtoto Albino ni Rais aliamuru? Si ni Polisi wenyewe wanafahamu wajibu wao kisheria au?
Ndio nini?Huu usanii ni kujifunza from Kikwete. Ni Unafiq Mantashallah.
Ndo hii. Nakupiga, police nakupeleka na matibabu nakupa. Ombea tu kwenye kipigo nisikuue. Nikikua hayo mengine hupati.
Al nafiq mintashallah. The highest point of Unafiq. Anakuwa nao Shetani.Ndio nini?
Halafu Ndugu yake kachoma Picha Povu linawatokaAlitekwa na waoysterbay wakampeleka kwenye karakana yao alafu Arusha wakamalizia porini katavi na risasi juu
Umoja WA Wana CHADEMA, tujifunze ku-appreciate juhudi za wenzetu. Hongera sana Kwa Martin Maranja Masese NA Jacob Boniface (Boniyai)! Hakuna mwana CCM aliyetoa hata kumi Zaidi ya fedheha., nimeuona umoja wa kitanzania kwenye jambo hili, nawashukuru wote waliomchangia na wanaondelea kuchanga, hivi ndivyo inavyopaswa kuwa, aliyoyapitia yanaumiza na kusikitisha sana, yaliyomtokea Sativa ni lazima tuyakomeshe”