Kufa c mwiko
JF-Expert Member
- May 26, 2013
- 752
- 320
Kama huna roho mbaya mchangie mgonjwa apone pita hiviKwa hiyo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama huna roho mbaya mchangie mgonjwa apone pita hiviKwa hiyo?
Rais keshamchangiaKama huna roho mbaya mchangie mgonjwa apone pita hivi
Halafu wewe matako kuwa condom ya CCM unajionaga mtu sana watu wakiamua hata mfupa wako mmoja mama Yako hatouna kyuma wewe!!Wewe bwege wewe
Siku yako inakuja
Rejea kwa Dr UlimbokaHa ha ha.... Mshauri wake ni Kikwete. Naye alikuwa anafanya hivi hivi.
Hivi nyie hamuoni usanii kwenye haya maelezo...aunde Tume ya Kijaji itakayochunguza tukio zima, na mengine ya aina hiyo.
Hii ni serious kesi na ilitakiwa ijulikane kimataifa ila ni tatizo ni kuwa Tanzania hakuna waandishi wa habari. Karne ya leo unakuta watu wanapanga kulisha fisi mzoga wa binadamu tena kwa kumuua?Angeliwa na Fisi wangenyamanza kimya kama sio wao.
Haya maneno ''ifike mahali blah blah.......'' ndiyo yanaimaliza Tanzania. Hiyo ''mahali'' haitakaa ifikiwe kwa maneno. Kla kitu utasikia ''ifike mahali...'''. Kwanza hili tamko la Zitto ni usanii mtupu. Ni njia ya kuzima huu ukatili kwa maneno na ahadi. Rais angekuwa anajua wajibu wake asingesubiri mpaka akumbushwe na Zitto anawajibika kufanya nini. Na nina uhakika kuwa huyo jamaa alikuwa amevaa nguo za timu ya Simba ambaye ndiye mhusika mkuu, angejua Samia hapendi huu unyama basi asingethubutu kuamrisha binadamu mwenzake auawe na kulishwa fisi.Naunga mkono hoja. Ifikie wakati tuwe wastaarabu. Wahusika wakamatwe na kufikishwa kwenye vyombo vya sheria.
Tukio la yule mtoto aliyeuwawa kule Bukoba lilichukua siku chache tu kwa watuhumiwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani.
Sioni ni kwa nini katika hili tukio, nguvu kubwa inataka kuwekezwa kwenye matibabu pekee, huku kukiwa hakuna habari yoyote ile ya kuwahusu watuhumiwa wa tukio. Au ndiyo muendelezo ule ule wa tukio la kutekwa na kuteswa kwa Dr. Ulimboka! Kushambuliwa kwa Tundu Lissu, nk?
Mitano tena
Jaribu basi wewe ****Halafu wewe matako kuwa condom ya CCM unajionaga mtu sana watu wakiamua hata mfupa wako mmoja mama Yako hatouna kyuma wewe!!