Pre GE2025 Rais Samia kugharamia matibabu ya Sativa hadi apone, aagiza uchunguzi wa tukio hilo

Pre GE2025 Rais Samia kugharamia matibabu ya Sativa hadi apone, aagiza uchunguzi wa tukio hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa sisi wasoma matukio hii Ni kama sign mwisho wake mama unaweza kuwa kifo. Hivi alifanya jiwe alipokuwa anataka kumfunga Msigwa huku raia wema wakiwa kuchanga Pesa mara jiwe na yeye akajitia kuchanga.
 
Kwa sisi wasoma matukio hii Ni kama sign mwisho wake mama unaweza kuwa kifo. Hivi alifanya jiwe alipokuwa anataka kumfunga Msigwa huku raia wema wakiwa kuchanga Pesa mara jiwe na yeye akajitia kuchanga.
Ni aibu tupu . Mungu anamuumbua .
 
Create problem..
Solve problem...
Political mileage
 
Nampongeza kwa hatua hii!!..Atokomeze ugonjwa wa teka teka unamharibia sana halafu siyo desturi ya utawala wake!!

Kazi iendelee!
 
ben carso.jpg
 
Kijana akishapona hapo ni kijani na njano na kupeperusha bendera huku akisema mama anaupiga mwingi.
 
Back
Top Bottom