Pre GE2025 Rais Samia kugharamia matibabu ya Sativa hadi apone, aagiza uchunguzi wa tukio hilo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Fisi nao wapewe Mifupa ya Shilingi ngapi kwa kutomla SATIVA?!
 
Kwahiyo Aanze na Mkuu wa kituo kwa maelezo ya Mtu mwenye ile Hali?

Shida ya Dogo wenu katukana Kila mtu mitandaoni akijiona yeye ni mwamba

Jifunzeni kuheshimu watu

Unakuta unabishana na Jambazi wewe ukadhani keyboarder mwezio


Mjifunze kujadili mambo kwa hoja

Jamaa Kila mtu alikua anamtukana matusi ya nguoni
 
Ningemuelewa Kama angeenda na kumwomba wahusika wakamatwe na kuchukuliwa hatua.
Tayari majeruhi keshasema aliyekuwa na kupelekwa katakana ya osterbay.
Huu aliyofanya Zitto kabwe ni zaidi ya uchawa, amechukulia matatizo ya mwenzake Kama fursa.
Uhainkwanza
 
Ww unayo dhamira hiyo acha jeuri
 
Huwezi Amini,,,lakini hili ni Igizo imesukwa hii baada ya muda Fulani Jamaa makazi yake yatakuwa nje ya Tz au bara la Africa
 
Sijawai mwona Rais mwenye Upendo kama huyu jamani hadi Raha mama mwenye huruma mama mwenye Upendo,ila vijana wa twita tuache kuchukua jambo hili kama vita
 
Baada ya hao watu kutukanwa suluhisho la kumdhibiti ndio iwe kifo? hayo si matumizi yamwisho kabisa ya akili.

Hata kama dogo katukana matusi kiasi gani, kulikuwa na njia nyingine za kumpa kibano lakini sio kutaka kumuua tena kimya kimya na kama alikuwa amefanya makosa wangemkamata kwa uwazi na kutaja makosa yake Public
 
Zito kwenye harakati nzito za kuhakikisha CHADEMA inakufa😀😀😀
 
Endelea na wewe kutukana watu matusi

Kuna mtu ukimtusi Mama yake arudii mara mbili

Nakuambia Tena huyo bwege Bado umjui

Anaweza kukutukana siku nzima matusi ya nguoni

Mimi adhabu waliyompa ni ndogo sana
 
Kupokea msaada wake itakuwa sawa na kumkufuru Mungu aliyemponya kijana huyo kuliwa na fisi kama watekaji wa serikali ya Samia walivyotaka
 
Wanaendelea kutafutwa.,Wala haihitaji Rais kuamuri maana wenye wajibu huo kisheria wapo.

Kwani waliomuua mtoto Albino ni Rais aliamuru? Si ni Polisi wenyewe wanafahamu wajibu wao kisheria au?
Kwahiyo ukumuona huyo mama yako akitoa maagizo mbele ya vyombo vya habari kwamba amesikitishwa na vyombo vya usalama vihakikishe waliomteka mtoto albino wakamatwe, mbona la sativa kapiga kimnya katangaza msaada tu ina maana hajui mtuhumiwa no 1 ni muriro!?
 
Hata Sasa amesikitishwa ndio maana amewachangia pesa za matibabu na Waziri wa Mambo ya ndani amesema Uchunguzi unaendelea wa kuwasaka wahusika.

Sasa hapo wewe unataka nini?
 
Hata Sasa amesikitishwa ndio maana amewachangia pesa za matibabu na Waziri wa Mambo ya ndani amesema Uchunguzi unaendelea wa kuwasaka wahusika.

Sasa hapo wewe unataka nini?
Huyo waziri aliyesema serikali isiusishwe na tukio wewe ni maiti inayotembea kuna uchungizi hapo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…