Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Democratic ndio wana Mengi ya kujifunza kutoka CCM katika kuwashawishi watu kuwapatia kura katika kila uchaguzi
 
zinduna wetu amekwishatoa pongezi kwa Tramp au bado?, nchi kubwa zenye power zinaongozwa na rais mwanamume wa maamuzi 🙂
 
Acha kuweweseka ndugu yangu mtanzania uliyejaa msongo wa mawazo
Nateseka na nini wakati mimi nipo zangu cannada nakura mema ya dunia ya first class wewe unachakaa na tambara lako la kijani kama shuka la wodini...........aibu.........kinachoifuraisha nafsi yako nakijua..........sababu umezoea kuangalia na macho mawili tu yaani lile jicho la shule bado umelifunga........siku ukilifungua utajua kwamba ulikuwa unapoteza muda wako na wala si uzalendo ulinao.............wewe endelea kuombewa kwa maombi kwamba utatoboa wenzio wkiendelea kuombewa na maburungutu mwanana
 
zinduna wetu amekwishatoa pongezi kwa Tramp au bado?, nchi kubwa zenye power zinaongozwa na rais mwanamume wa maamuzi 🙂
Huna adabu kabisa wewe.inaonyesha umekosa malezi mazuri ya wazazi wako ndio maana huna adabu wala heshima.
 
Ndio maana huelewi kinachoendelea hapa Nchini.kwa taarifa yako kwa sasa Tanzania chini ya Rais Samia ndio chaguo nambari moja la watalii, wawekezaji,wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali maarufu kama vile wana michezo.kwa sasa kila eneo ukipita ni maendeleo tu na miradi mbalimbali ya maendeleo inaendelea kutekelezwa kwa kasi ya Mwanga.
 
Una tatizo mahala, kwa sababu zipi amekuwa Trump?.
 
Menopause inakusumbua dada Lucy
 
Uvcc ni vitolea taka kweli,kwamba anafunika mpaka ushindi wa trump na uchaguzi
 
 

Attachments

  • 5872128-4f4a645001b102135c8fa4dd8eea1311.mp4
    8.8 MB
  • 5872129-22cd402f8fcf139df3b61ea27c005ac2.mp4
    8.2 MB
Nimehuzunika sana kwa kuzunguka kwako robo tatu ya ulimwengu kutafuta tiba ya wehu na hujaipata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…