Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Mkubavu mkubwa
Ndio maana huelewi kinachoendelea hapa Nchini.kwa taarifa yako kwa sasa Tanzania chini ya Rais Samia ndio chaguo nambari moja la watalii, wawekezaji,wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali maarufu kama vile wana michezo.kwa sasa kila eneo ukipita ni maendeleo tu na miradi mbalimbali ya maendeleo inaendelea kutekelezwa kwa kasi ya Mwanga.
 
Kwanini usiandae andiko zuri ambalo litaeleza yafuatayo:
1. Serikali ifute hadhi ya Baba wa taifa na Sa100 awe ndo Mama wa Taifa.
2. Tanganyika iwe koloni rasmi la Zanzibar na jina libadilishwe liwe Jamhuri ya Zanzibar.
3. Uelezee uchaguzi hauna maana kwa kuwa Sa100 ni mungu mtu.
Ukifanya hivi mkuu hakika mkeka unaokuja lazma jina lako liwepo
 
Unadhani dunia ni basi la mwendokasi au daladala ya mbagala!?
πŸ˜‚πŸ€£

Raisi anatokea matakoni mwa dunia huku, kila jambo msaada mpaka tundu za choo za shule, akasimamishe dunia. πŸ˜‚πŸ€£
Akili nyingine iliyokufa hii hapa!
 
06 November 2024
Rais wa Tanzania atakutana na DΓ­az-Canel katika ziara ya kiserikali nchini Cuba

Nov 6 (EFE).- Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, anasafiri kwenda Cuba Jumatano hii kuanza ziara ya kiserikali ambapo atakutana na mwenzake wa Cuba, Miguel DΓ­az-Canel, pamoja na ahadi nyingine, imeripotiwa. Wizara ya Mambo ya Nje ya nchi hii ya Afrika Mashariki.

Ziara ya Hassan inalenga kuimarisha uhusiano baina ya nchi hizo mbili, ikilenga mahsusi katika kukuza matumizi ya kimataifa ya Kiswahili, mojawapo ya lugha za Kiafrika zinazotumiwa sana barani humo, yenye wazungumzaji zaidi ya milioni 200 duniani.

Rais Hassan na rais wa Cuba
DΓ­az-Canel wanatarajiwa kushughulikia masuala kama vile ushirikiano mpya wa kiuchumi na kidiplomasia ili kutatua changamoto za kimataifa kwa manufaa ya pande zote mbili.

Pia watachunguza mikakati inayolenga kufungua njia mpya za ushirikiano wa vyama vya ushirika katika maeneo kama vile afya, elimu, sanaa, michezo, utalii na uchumi wa bluu, kwa mujibu wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Tanzania.

Moja ya matukio muhimu katika kipindi cha rais Hassan itakuwa mahudhurio yake kama mgeni mkuu katika ufunguzi wa Kongamano la Kimataifa la Kiswahili mjini Havana Ijumaa hii, siku ya mwisho ya safari yake.

Mkutano huo ulioandaliwa na balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, ni sehemu ya mpango wa kuhamasisha matumizi ya Kiswahili katika nchi za Caribbean na Amerika Kusini.

Takriban watu 400 wanatarajiwa kuhudhuria, kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Tanzania.

Marais Hassan na DΓ­az-Canel pia watawasilisha kamusi mpya ya Kihispania-Kiswahili na kijitabu cha methali za kawaida katika lugha zote mbili, kilichotolewa kwa pamoja na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam UDSM na Chuo Kikuu cha Havana. EFE
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .

Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.

Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Ashukuriwe Samia kwa ushindi wa Trump.
Nani kama mama?!....CCM wamefundisha Trump jinsi kushinda uchaguzi......
 
Duh,
Yaani dunia waache kufuatilia ushindi wa Trump wakusikilize wewe chawa na waliokununua kuwatumikia?!
Hata akienda USA unakuta hata rais wa USA mwenyewe hajui kama kuna rais wa nchi fulani ya Afrika yuko nchini kwake. Watu wako busy na kushughulika na masuala muhimu ya watu wao. Ni watawala wa Afrika pekee ndio unawakuta wanaona ufahari kusafiri safiri nchi za watu.
 
Ndugu zangu Watanzania,

Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .

Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.

Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.

Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024

Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518

Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.

Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Dogo nchi imefirisika tanroads wasimamizi wa miradi mikubwa wako hoi
Wakandarasi wazabuni wa vifaa na washauri wa miradi (consultants) hawajalipwa Miaka 2bsasa

Ccm baada ya kuona nchi Haina mapato ya kutosha kugharamia miradi mnamtumia kitila kuuambia mtatumianmfumo wa PPP ambaobutawanyonya zaidi wanyonge wenu

Kwani pamoja na kulipa Kodi sasa tutawalipa wawekezaji kupitia barabarani

Alafu mjinga mjinga chawa
Unatuletea upuuzi wa kusifia mambo ya kijinga
 
Dogo nchi imefirisika tanroads wasimamizi wa miradi mikubwa wako hoi
Wakandarasi wazabuni wa vifaa na washauri wa miradi (consultants) hawajalipwa Miaka 2bsasa

Ccm baada ya kuona nchi Haina mapato ya kutosha kugharamia miradi mnamtumia kitila kuuambia mtatumianmfumo wa PPP ambaobutawanyonya zaidi wanyonge wenu

Kwani pamoja na kulipa Kodi sasa tutawalipa wawekezaji kupitia barabarani

Alafu mjinga mjinga chawa
Unatuletea upuuzi wa kusifia mambo ya kijinga
Acheni porojo na uzushi wa kitoto
 
Hahahaah mamilioni ya watu duniani kote yanasubiria kongamano la kiswahele! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›

Na dunia isimame kumsikiliza mama yetu! Haijasimama kusikilizia rais wa dunia anachaguliwa then isimamishwe na kikongamano cha polepole kisiwani Cuba, hahaha
 
Hahahaah mamilioni ya watu duniani kote yanasubiria kongamano la kiswahili! πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›

Na dunia isimame kumsikiliza mama yetu! Haijasimama kusikilizia rais wa dunia anachaguliwa then isimamishwe na kikongamano kisiwani Cuba, hahaha
Wivu utakuuwa ndugu yangu
 
Hiyo ziara ya Cuba haina tija kwa taifa huwezi ukawasikia marais smart na wazalendo kwa nchi zao kama Kagame au Ruto ameenda kupoteza muda huko!!.
 
Back
Top Bottom