Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu Mwashamba utateseka sana kwa sifa na mapenzi ya kulazimisha.Ndio utajua sasa na wivu wako wa kijinga
Mwashamba anautafuta Ukuu wa Wilaya na ameweka malengo kweli.Kwa hiyo dunia nzima ikiongozwa na Trump itakuwa ina bubujikwa na machozi ya furaha?ππππππππ
Ndio maana huelewi kinachoendelea hapa Nchini.kwa taarifa yako kwa sasa Tanzania chini ya Rais Samia ndio chaguo nambari moja la watalii, wawekezaji,wafanyabiashara wakubwa na watu mbalimbali maarufu kama vile wana michezo.kwa sasa kila eneo ukipita ni maendeleo tu na miradi mbalimbali ya maendeleo inaendelea kutekelezwa kwa kasi ya Mwanga.
Akili nyingine iliyokufa hii hapa!Unadhani dunia ni basi la mwendokasi au daladala ya mbagala!?
ππ€£
Raisi anatokea matakoni mwa dunia huku, kila jambo msaada mpaka tundu za choo za shule, akasimamishe dunia. ππ€£
Ashukuriwe Samia kwa ushindi wa Trump.
Nani kama mama?!
Democratic ndio wana Mengi ya kujifunza kutoka CCM katika kuwashawishi watu kuwapatia kura katika kila uchaguzi
Ipi asiyostahili?Unampa mtu sifa asizostahili natafuta nini kwake.
Utateseka WeweMkuu Mwashamba utateseka sana kwa sifa na mapenzi ya kulazimisha.
Ashukuriwe Samia kwa ushindi wa Trump.Ndugu zangu Watanzania,
Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .
Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.
Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.
Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024
Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Rais Samia ni Mpango wa Mungu MwenyeweAshukuriwe Samia kwa ushindi wa Trump.
Nani kama mama?!....CCM wamefundisha Trump jinsi kushinda uchaguzi......
Hata akienda USA unakuta hata rais wa USA mwenyewe hajui kama kuna rais wa nchi fulani ya Afrika yuko nchini kwake. Watu wako busy na kushughulika na masuala muhimu ya watu wao. Ni watawala wa Afrika pekee ndio unawakuta wanaona ufahari kusafiri safiri nchi za watu.Duh,
Yaani dunia waache kufuatilia ushindi wa Trump wakusikilize wewe chawa na waliokununua kuwatumikia?!
Dogo nchi imefirisika tanroads wasimamizi wa miradi mikubwa wako hoiNdugu zangu Watanzania,
Siku ya kesho Zaidi ya Nusu Billion ya watu Duniani Kwote wataelekeza macho na masikio yao Nchini Cuba .pale Ambapo kinara wa Dunia wa kupigania matumizi ya nishati safi ya kupikia Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan Rais wetu Mpendwa na Jemedari wetu kipenzi atakapokuwa mgeni Rasmi katika kongamano la kiswahili .
Ambapo duru za kisiasa zinaonyesha kuwa kongamano hilo linasubiriwa kwa hamu na shauku kubwa sana na mamilioni ya watu Duniani Kwote.Lakini pia uwezo wa kiuongozi na maono Makubwa ya Rais Samia yamepelekea kuwa gumzo na kuteka hisia za watu wengi sana Duniani Kwote.
Ikumbukwe ya kuwa RAIS Samia ndiye Rais Mwanamke pekee barani Afrika na mwenye ushawishi mkubwa sana hapa Afrika.Na ambaye inatajwa kuwa kama Afrika ingekuwa ni Nchi Moja basi Mama huyu shupavu,imara,hodari na madhubuti kwelikweli angechaguliwa kuwa Rais Wa Afrika.
Soma Pia: Rais Samia Mgeni Rasmi Kongamano la Kiswahili Havana Cuba Novemba 7-10, 2024
Usikose kufuatilia kongamano hilo litakalofuatiliwa na Dunia nzima na kuwa live au mbashara kupitia vyombo mbalimbali vya habariView attachment 3145518
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili.
Acheni porojo na uzushi wa kitotoDogo nchi imefirisika tanroads wasimamizi wa miradi mikubwa wako hoi
Wakandarasi wazabuni wa vifaa na washauri wa miradi (consultants) hawajalipwa Miaka 2bsasa
Ccm baada ya kuona nchi Haina mapato ya kutosha kugharamia miradi mnamtumia kitila kuuambia mtatumianmfumo wa PPP ambaobutawanyonya zaidi wanyonge wenu
Kwani pamoja na kulipa Kodi sasa tutawalipa wawekezaji kupitia barabarani
Alafu mjinga mjinga chawa
Unatuletea upuuzi wa kusifia mambo ya kijinga
Wivu utakuuwa ndugu yanguHahahaah mamilioni ya watu duniani kote yanasubiria kongamano la kiswahili! πππ
Na dunia isimame kumsikiliza mama yetu! Haijasimama kusikilizia rais wa dunia anachaguliwa then isimamishwe na kikongamano kisiwani Cuba, hahaha