Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Huyo atasimamisha wajinga kama wewe. Wewe ni zombie na hasara kwa wazazi wako Bora wangekuua mapema tu. Mungu chukua hili lishetani haraka lichome Moto liteketee kabisa
 
Dunia ipi hiyo unaongelea? Au dunia ya bongo?
 
Unadhani dunia ni basi la mwendokasi au daladala ya mbagala!?
😂🤣

Raisi anatokea matakoni mwa dunia huku, kila jambo msaada mpaka tundu za choo za shule, akasimamishe dunia. 😂🤣
Acha dharau basi. 😀😀 kumbe kuna watu wanasomaga nyuzi za Lucas? Leo nimepita huku bahati Mbaya kuona comments nikijua kama hizi zitakuwepo😀😀😀
 
Jitu zima lakini halina akili linatumika kama toilet paper na linajidhalilisha kwa tamaa ya vihela vidogo vidogo na uroho wa madaraka likiamini siku moja litapewa cheo!
 
We jamaa mimi ndo ningekuwa mama Samia ningetuma wasaidizi wangu wakushughulikie kwasababu natambua una nia ovu na mbaya dhidi yake, au lengo lako nikutaka uteuzi. Kama amefanya jambo jema pongeza, lakini kama amefanya ndivyo sivyo shauri. Na naamini amesha kufahamu ndo maana hakupi uteuzi
 
Anaisimamisha je? Ni kipi kipya atakifanya cha ajabu? Hadi leo amekalia taarifa wa watekaji na aendelee kuaminika?
 
Shahawa zilizokuzaa heri zingemwagwa chooni tu
 
Labda "FIMBO" ya baba Wangu& Abdul, lakini sio Dunia!!!
 
Acha wivu wako wa kijinga hapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…