Rais Samia kuisimamisha Dunia kutokea Cuba hapo Kesho

Acha wivu wako wa kijinga ha
Wivu gani ndg Mwashambwa? We kuna kitu unakitafuta kwa madam President, lakini naamini na yeye kesha kusoma na kukuelewa nini unataka, ndo maana kaamua kukupotezea.
NB: Pongeza pale panapo staili na shauri pale panapo staili, ni ushauri tu kwako.
 
Unadhani dunia ni basi la mwendokasi au daladala ya mbagala!?
πŸ˜‚πŸ€£

Raisi anatokea matakoni mwa dunia huku, kila jambo msaada mpaka tundu za choo za shule, akasimamishe dunia. πŸ˜‚πŸ€£
Ujinga unasumbua watu wengi sana.
 
Wivu gani ndg Mwashambwa? We kuna kitu unakitafuta kwa madam President, lakini naamini na yeye kesha kusoma na kukuelewa nini unataka, ndo maana kaamua kukupotezea.
NB: Pongeza pale panapo staili na shauri pale panapo staili, ni ushauri tu kwako.
Siku zote hata mm ukinisifu na ninajua unanisifia ujinga na unafiki lazima nikudharau tu.ndio anavyodharauliwa mwasha mbwa.
 
Siku zote hata mm ukinisifu na ninajua unanisifia ujinga na unafiki lazima nikudharau tu.ndio anavyodharauliwa mwasha mbwa.
Ni kweli kabisa ndg yangu, huyu jamaa alianza kwa kuweka namba za simu , kwa kudhani kuwa kwa vile ninasifia sana hata kwenye mambo ambayo hayastili sifa atapigiwa simu ya uteuzi lakini naona madam president kaamua ku mute
 
zinduna wetu amekwishatoa pongezi kwa Tramp au bado?, nchi kubwa zenye power zinaongozwa na rais mwanamume wa maamuzi πŸ™‚
Hao wanaume wa maamuzi kuelekea 2025 wote wapo kimya baada ya kuishindwa nguvu ya pesa iliyopo katika awamu hii.
 
Hiyo ziara ya Cuba haina tija kwa taifa huwezi ukawasikia marais smart na wazalendo kwa nchi zao kama Kagame au Ruto ameenda kupoteza muda huko!!.
kipindi hiki cha kuelekea masika tunakatiza baracuda triangle kweli? nini hasa kinafuatwa huko?
 
Dunia haisimami,watu wako busy na shughuli zao, hata kujua tu kuwa yupo Cuba hawajui!!
 
Mlioko duniani eti jana dunia ilisimama? Mimi nipo Jupiter.

Imekuwa safari ya mkosi aliyeenda kumsaidia kaangukia pua safari ya Cuba imeahirishwa na kimbunga.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…