Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Rais Samia kukopa(tena) 1billion USD from IMF

Tusiogope kukopa, deni haliui, kinachoniuma mimi ni matumizi ya anasa ya Serikali - ma V8 za nini ? kwa nini tusitumie Suzuki na R4 tena kwa watumishi wachache tu wengine wajitegemee usafari.
 
Sijawahi kuwa mfuasi wa Magufuli,never ever,siwezi kuwa mfuasi wa wajaa,mimi ni mfuasi wa Ubepari jamii yaani social democracy na sio ujamaa...

Msingi wa ujamaa ni kuua personal initiative,sifa nyingi na maneno meeengi ya kutiana matumaini wakati kwenye actual things hakuna kitu...

Ndio maana Mwendazake alikuwa anawalisha maneno,propaganda nyingi na hadithi za kufikirika.
Kwetu kumekucha mimi wala sina shida na wewe nimeshakuelewa ipo sio siyo ya mbali utalaumu yale yale aliyokuwa akifanya Magufuli usiempenda sema kwa sasa uelewi utekelezaji wale.

👋
 
Kwetu kumekucha mimi wala sina shida na wewe nimeshakuelewa ipo sio siyo ya mbali utalaumu yale yale aliyokuwa akifanya Magufuli usiempenda sema kwa sasa uelewi utekelezaji wale.

👋
Nilaumu kwa lipi? Magufuli aliharibu uchumi kwa kuvuruga private sector,FDI na kudanganya kwamba hakopi wakati anakopa tena kwa riba kubwa na ufisadi juu kwa hiyo hafai kabisa na kulaumiwa ni haki yake 👇

Screenshot_20220512-130134.png


2306969_FB_IMG_1581695064971.jpg


1650491737485.png


Screenshot_20220430-075700.png
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901

Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1 Billion Funding Request

An International Monetary Fund team is in Tanzania for talks on the East Africa nation’s request for a three-year financing package of $1.1 billion.

President Samia Suluhu Hassan is seeking the funds to support the nation’s recovery from the coronavirus pandemic, her spokeswoman, Zuhura Yunus, told reporters in the commercial hub of Dar es Salaam on Thursday.


Hassan told Bloomberg News in an interview in March that her administration was seeking at least $700 million from the IMF. Securing additional funding from multilateral lenders is part of Hassan’s wider plan to boost Tanzania’s fiscal position by taking on more concessional loans.

The IMF in September raised the nation’s risk of debt distress to moderate, from low, after the government ramped up commercial borrowings in recent years, including about $1.5 billion from Standard Chartered Plc to help fund construction of a new railroad.
Tatizo sio kukopa bali hiyo mikopo inatumikaje? Nchi inakopa pesa mwisho zinaingia kwenye mifuko ya wanasiasa.
 
Sina shida na Kukopa na nasema wakope zaidi na zaidi mikopo ya mda mrefu kwa ajili ya miradi tuu,naunga mkono hoja...

Ila kukopa kwa ajili ya kutoa ruzuku kwenye mafuta hapana, Serikali isifanye hili kuna njia nyingi za kupata pesa ya Ruzuku ya Mafuta kama tulivyochangia hapo awali..

Tanzania hii bila mikopo ya miradi ya maendeleo hatutoboi.

Amekopa ili aweze kuongeza mishahara aliyoahidi, hakuna pesa hazina wameshamaliza akiba yote walioikuta.

Kwa kifupi anakopa ili kuendesha Serikali, hakuna pesa!
 
Huku sarakasi za Mlimani City zikiendelea Serikali ya Samia imeomba mkopo wa 1.1 billion US dollars kutoka IMF kwa mujibu wa msemaji wake Zuhura Yunis, IMF wako nchini kujadili, one thing is clear walipaji wa haya madeni ni sisi wananchi!

View attachment 2221901

Markets
IMF Mission in Tanzania for Talks on $1 Billion Funding Request

An International Monetary Fund team is in Tanzania for talks on the East Africa nation’s request for a three-year financing package of $1.1 billion.

President Samia Suluhu Hassan is seeking the funds to support the nation’s recovery from the coronavirus pandemic, her spokeswoman, Zuhura Yunus, told reporters in the commercial hub of Dar es Salaam on Thursday.


Hassan told Bloomberg News in an interview in March that her administration was seeking at least $700 million from the IMF. Securing additional funding from multilateral lenders is part of Hassan’s wider plan to boost Tanzania’s fiscal position by taking on more concessional loans.

The IMF in September raised the nation’s risk of debt distress to moderate, from low, after the government ramped up commercial borrowings in recent years, including about $1.5 billion from Standard Chartered Plc to help fund construction of a new railroad.
Wacha akope. Kinakuuma nini sindio tumemchaguwa atuwakilishe na wazee wakasema anafaa yani wacha akope tu. Tupunguze domo
 
mkuu stimulus loan for whom? raia wanachechemea na kujiangukia ovyo kwa njaa na kukosa ajira wakitaabishwa na tozo na bei kali ya petrol hebu tusaidie maelezo hiyo loan inawakwamuaje!! hivi sisiem huwa hawakai vikao kuhoji mikopo ya serikali?
Haya mambo hayatakiwi yapelekwe kiasiasa, sasa wachumi wenyewe ndo hao akina madelu ndo unaona mambo ni shaghalabaghala....
 
Kwa ninavyoona, mama anazisaka pesa sana, shida ni walaji, zikitua tu,watu wanazila halafu zile chache wanatuzugia kupeleka maeneo husika. Upigaji kwenye ma-halmashauri unasemwa kua ni Mkubwa sana, achilia sehemu nyingine. Pole yao wale ambao walitumbulia enzi za mzee JPM,maana wenzao duuuh! wanakula raha mstarehe.
upigaji halmashauri hautoisha.mbona hapa bukoba ukarabati wa jengo la mkuu wa wilaya unasuasua ati sababu wameshtukiwa na mkuu wa wilaya kuzipiga.waliweka bajeti kubwa ya ukarabati tofauti na uhalisia wake na waliposhtukiwa na mkuu wa wilaya bukoba mjini wanapita mtaani kusema ati ngoja akae kwenye kile kiofisi pale uwanja wa ndege mpaka akome.wapigaji nchi hii ni wengi kutoka juu mpaka chini wamejaa wapigaji tu hasa kipindi hiki cha mama.
 
Amekopa ili aweze kuongeza mishahara aliyoahidi, hakuna pesa hazina wameshamaliza akiba yote walioikuta.

Kwa kifupi anakopa ili kuendesha Serikali, hakuna pesa!
Ndivyo kakuambia au? Acha ujinga wako..

Hao wamekuja kwa ajili ya majadiliano na bahati nzuri Serikali ya SSH huwa inasema.

Kwa.hiyo.subiria ikiwa tayari watasema.
 
Wacha akope. Kinakuuma nini sindio tumemchaguwa atuwakilishe na wazee wakasema anafaa yani wacha akope tu. Tupunguze domo

Nani kamchagua? Mimi siyo labda wewe, mimi raisi wangu wa mwisho niliyemchagua alikuwa Magu (RIP)!
 
Wacha akope. Kinakuuma nini sindio tumemchaguwa atuwakilishe na wazee wakasema anafaa yani wacha akope tu. Tupunguze domo
mama hajachaguliwa ni matakwa ya kkatiba jamani mbona mnapotosha?
 
Tusiogope kukopa, deni haliui, kinachoniuma mimi ni matumizi ya anasa ya Serikali - ma V8 za nini ? kwa nini tusitumie Suzuki na R4 tena kwa watumishi wachache tu wengine wajitegemee usafari.
Naunga mkono hoja 100% ! Hata L/cruiser hard top zinafaa sana lakini watu wameshajizowesha KAZI NA BATA !! Wengine wanataka Chopa !!
 
View attachment 2222295

Hivi unajua madhara ya kuchapisha hela au unajiropekea tu.

Kuchapisha hela kunaenda sambasamba na currencies devaluation na inamaanisha you are broke; sasa mtu broke anaweza kopeshwa na private banks.

Tazama hiyo trend ya exchange rate ya Magufuli kwenye devaluation of our currency. Kipindi cha Magufuli miaka sita shillingi imekuwa stable kwa muda mrefu kushinda muda wowote.

Sasa utachapisha hela shillingi ibaki stable; au utatolewa kwenye low risk ya kukopeshwa na kuwekwa kwenye moderate risk kama una makusanyo mazuri.

Chawa wa mama mnafanana na yeye kwenye kila kitu mpaka vichwani zero.
Dah jamaa unanibishia bila kujua tu. Hela zimechapishwa sana kulipa wanunuzi wa ndani wa bond za serikali. Sina haja ya kubishana na wewe maana najua ninachoongea. Taarifa zinazotolewa public ni tofauti sana na uhalisia.

Pia mimi huyo Samia sioni kama anao uwezo wa kuongoza nchi hivyo usinihusishe naye.
 
Nakubiana na wewe kuwa yule mgogo alikuwa mnafiki sana hata mimi sikumpenda lakini alichosema juu ya Samia kuwa anakopa hovyo nakubaliana nae!!! Huwezi kukopa kutoa ruzuku kwa bei ya Mafuta inayopanda kila siku ; kitu ambacho kiko nje ya uwezo wako na ukategemea kukomesha mfumuko wa bei!!! Utakopa mara ngapi? Look at the unnecessary expenditure pattern ya serikali yako!! Legislate kuwa magari note yabadilishwe na yatumie gas ambayo nchi inachimba; kuonesha mfano magari note ya serikali yawe refitted ili yatumie gas. it way seem momentous but doable, mbona magari ya Dangote yanatumia gas?
Mkuu mimi nimeshasema Samia hana uwezo wa kuongoza nchi na Magufuli pia alikuwa hivyo hivyo. Tatizo kuanzia awamu ya 5, kaua biashara na uzalishaji wa ndani na matokeo yake vyanzo vya mapato vikapungua na matokeo yake ni kukopa kila siku ili kuendesha serikali na kujenga.

Samia ni mtapanyaji hivyo kudhibiti bei hataweza. Walichotakiwa kufanya kwenye mafuta ni kuondoa utitiri wa kodi na kupunguza matumizi ya serikali ili kufidia. Hivi gesi ya kwenye magari inachimbwa hapa? Ufahamu wangu sio mkubwa sana kwenye hili maana recently nimesikia hizi gesi za kupikia mitaani sio zinazochimbwa hapa. Halafu bei ya gesi ni ndogo kwasababu watumiaji ni wachache, wakiwa wengi wataweka Tena utitiri wa kodi na tutarudi palepale.

Magufuli amekopa hovyohovyo pia, ujenzi kuanzia zahanati, masoko, viwanja vya ndege, reli na bwawa vyote ni mikopo huku kwenye majukwaa anadanganya kwamba ni hela za ndani. Ninaunga mkono kukopa kwa ajili ya bwawa na reli ila mikopo mingine iwe ile inayochochea uzalishaji wa ndani na kuboresha export.
 
Vipi kuhusu exchange rate kwa Magufuli hela yetu imekuwa stable sana! Magufuli was better maana alikopa na vitu vinaonekana in ground!
Ukiwa unakopa na kupokea hela nyingi za kigeni kama mikopo unategemea currency yako isiwe stable?
 
Dah jamaa unanibishia bila kujua tu. Hela zimechapishwa sana kulipa wanunuzi wa ndani wa bond za serikali. Sina haja ya kubishana na wewe maana najua ninachoongea. Taarifa zinazotolewa public ni tofauti sana na uhalisia.

Pia mimi huyo Samia sioni kama anao uwezo wa kuongoza nchi hivyo usinihusishe naye.
Hizo hela alizichapishia wapi hadi iwe siri kwa dunia? Na aliziingiza vipi kwenye vitabu vya serikali kwa situ kubalance vitabu au unadhani unaweza kuiongopea dunia kwenye deni lako la ndani.

Huwa mnaishi kwenye dunia yenu na kudhania kila kitu ni kujiropokea tu kama mpo uwanja wa mwembe yanga.

Unajua madhara ya kuchapisha hela au unajiongelea tu.
 
Back
Top Bottom