Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Hahaha.....wacha tu nicheke.
 
Wapi nimesema watu wote.
Nimesema watu wote wenye akili tunajua Mbwa Mpumbavu ni nani

Kama humjui basi wewe siyo sehemu ya watu ninaowaongelea. Mbona simple tu. 🤣 🤣 🤣 🤣
Hii ni fasihi ya Kiswahili huwezi ukawa na jibu umoja usilazimishe kuwa wewe ndiye mwenye uelewa sahihi, mbona rahisi tu, umeelewa hivyo uko sahihi na mimi nimelelewa hivi niko sahihi hunanhaki ya kutaka nielewe kama ulivyoelewa wewe wapi shida hadi unatoa mapovu?
 
Watanganyika wamefikia kuitwa mbwa wapumbavu?! Kweli?!!!
 
Nimekuuliza swali. Je wewe ni mmoja wa watu ninaowaongelea?
Nimesema Watu wote wenye akili wanajua Mbwa mpumbavu ni nani.

Fumbo mfumbie mjinga mwelevu ataling'amua. Je, wewe ni kati ya watu ninaowaongelea?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…