Pre GE2025 Rais Samia: Kuna Mbwa Mpumbavu anabwekea maendeleo yetu
Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
kuna umihumu gan wa kulipa kodi km kila mtu anatakiwa kutenda kama rais au waziri au mbunge au mtendaj ?
Sasa kama wewe hujui umuhimu wa kulipa kodi, unakuja kuweka comments hapa kwa lengo gani? Nenda kwanza kajifunze umuhimu wa kulipa kodi ndio uje kuongea na mimi ukiwa na elimu. Mimi huwa naongea na watu wenye Akili tu.
 
Mkuu labda wewe ni La Saba B. Hiyo ni methali/ nahau tu. Usichulie serious sana


Mwalimu J K N aliulizwa whether Lyatonga Mrema wa NCCR anaweza kuwa Rais wa Tanzania!! Alijibu hivi "I can't leave my country to the dogs?

Kuna watu walichukia sana. Lakini baadaye wataalamu wa lugha walinyoosha
na huyu nae aseme yeye ni mfalme mpk maendeleo yake yasihojiwe au kukosolewa?
 
Sijui atakuwa ametumia kigezo gani kuwaita wenzake ni mbwa wapumbavu, labda yawezekana yeye ni nguruwe mwerevu. Na nguruwe mwerevu ni yule anayewala watoto wake , huku waliosalia wakizidi kumsogelea mama yao wakiamini anawapenda, wakati ni suala la muda tu na wao wafikiwe.

Ulimwengu utakuwa ni mahali pazuri kwa kila mmoja, siku ambayo wagombea hao watakapotambua kuwa wote ni wana wa Mungu, na aliyewaumba akawapa fikra na upeo tofauti, alikuwa na sababu za msingi kuliko wao wanaopenda wanadamu wote wakubaliane katika yote, kwenye mema na mabaya.
 
Watu tuache unafki, hata angekuwa Magu bado mngesema hivihivi..,
ww una matatizo ya akili , hoja sio msemaji bali hoja yeye kama kiongoz wa nchi ni sahihi kutizama kama mbwa baadhi ya wananchi wasioridhishwa na utendaji wake ?

Je alipaswa kufafanua azma zake au kuwanasibu kwa jina la mbwa
 
Hata siyo utani

Wanaobwekea maendeleo yetu ya ndege, sgr, bwawa la umeme, uwanja wa ndege kama ule wa chato wanajulikana. Mama amewachana
 
IMG-20240823-WA0000.jpg
 
Hata siyo utani

Wanaobwekea maendeleo yetu ya ndege, sgr, bwawa la umeme, uwanja wa ndege kama ule wa chato , Kizimkazi festival wanajulikana. Asante Mama kwa kuwachana
 
Samia yupo sana mpaka 2030, ceteris paribus.

Hii nchi wangeichukua akina Bashiru Ally au Job Ndugai kama walivyotaka kabla Mabeyo CDF hajaongilia kati, saa hizi tungekuwa na shida kubwa.
Kwa hiyo sasa hivi hatuna shida kubwa?
😂 😂 😂 Aisee
 
Imagine watu wanapotea, wengine wanatekwa na kuuliwa na matukio mengi ya kutisha nchini Kisha Kiongozi wa nchi bila kukemea anasimama hadharani kuongea namna hii!!
 
Kwa kuwa uzi umefutwa basi nasemea humu,
Hivi wakristo mumeanzisha chama cha upinzani? Mbona wote mnaompinga sanaaaa mama ni wakristo?, sisi tunajua wapinzani wa ccm ni act, chadema, tlp, cuf na vyama vingine, je kanisa imekuwa chama cha upinzani au ni udini tuu?
Unawasumbua?
 
Mjukuu wa baba wa taifa la Zanzibar Fatma Karume anesema Mbwa ni mnyama anayefugika na kukulinda lakini Chawa anakunyonya Damu

Karume anesema hakunaga Chawa royal lakini Mbwa ni royal

Amezungumza Ukurasani X

Kwako Lucas 😂😂
 
Back
Top Bottom