Haya maonesho mama anayoenda kushiriki yana faida gani kwetu?๐คฃ๐คฃ๐คฃ
Ndio hoja yako hiyo? Kwa upuuzi wako huu mimi na wewe nani alipata div.4?Hahaha nadhani wewe ni zao la zile division four za 28 za kipindi kile cha JK.
Mkuu hutaki mama ale bata??Haya maonesho mama anayoenda kushiriki yana faida gani kwetu?
Kula bata ngoja ale ila kinachoniuma ni gharama zake binafasi na timu anayokwenda nayo pesa nyingi zinavuja kupitia hizi safari za kufanya utalii.Mkuu hutaki mama ale bata??
Mada inahusu SSH wewe unaleta hoja za JPM, ndiomaana nikasema wewe ni zao la zile four za 28 za kipindi kile.Ndio hoja yako hiyo? Kwa upuuzi wako huu mimi na wewe nani alipata div.4?
Kabla ya kuhoji ungetumia bichwa lako kuyafuatilia..Haya maonesho mama anayoenda kushiriki yana faida gani kwetu?
Tunatofautiana akili na ubunifu japokuwa mtihani wa maisha siku zote huwa ni mmoja.Pamoja na uzurulaji wake hali ni mbaya kuliko alivyoikuta.
๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎMada inahusu SSH wewe unaleta hoja za JPM, ndiomaana nikasema wewe ni zao la zile four za 28 za kipindi kile.
Wapambe wake wa humu watakwambia, Safari zake hazina gharama yoyote na zina faida kwa watz.Kula bata ngoja ale ila kinachoniuma ni gharama zake binafasi na timu anayokwenda nayo pesa nyingi zinavuja kupitia hizi safari za kufanya utalii.
Mpaka kuja kutoka ikulu atakuwa katembea dunia nzima, najiuliza tu briefing anazipitia muda gani?
Wewe ni mjinga umebeba boga sio kichwa ๐๐.Mama anaenda kushiriki maonesho aina ya sabasaba kweli? Ndio amefikia hatua hii?
Nalisikitikia taifa langu la Tanzania kwa kupata mzurulaji mzuri kama huyu
Balozi wetu alikuwa anatosha kabisa, kwa mfano kuna maonesho makubwa tu hufanyika kule Namibia na tukawakilishwa vizuri kabisa na balozi wetu comrade Kipilimba.Kabla ya kuhoji ungetumia bichwa lako kuyafuatilia..
Hayo ndio maonesho makubwa kabisa ya biashara na teknolojia Duniani,kila Nchi inayatumia kutafuta fursa na tuna Banda letu kule.
Marais wengi wameenda kujinadi Huko Ili kuvutia biashara,pia hayo maonyesho hufanyika kwa miezi 6 mfululizo.
๐ค๐ฎ๐ฎ๐ฎ๐ฎ
Wewe ni ngumbaru tu matako ya ngโombe unatumia matako kufikiria bila ubongo uliopewa bure na Mwenyezi Mungu.Wewe ni mjinga umebeba boga sio kichwa ๐๐
Sawa tu ngoja tu ngoja tunasubiri hao wawekezajiKatibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
๐ฎ๐ฎIkulu hapakaliki, mzilankende anamtesa sana huyu mama. Inamaana serikali imekosa kabisa namna ya kumsaidia?? Sasa atatafuta mianya ya safari hadi lini?
Anatamani siku moja iwe sawa na mwaka mmoja ila ndohivyo haiwezekani.
Ndio hoja yako hiyo? Kwa upuuzi wako huu mimi na wewe nani alipata div.4?
Wewe unaetumia kichwa mbona umejaza makamasi na huna unachoweza kubadili Hali yako na ya Nchi..๐ฎ๐ฎWewe ni ngumbaru tu matako ya ngโombe unatumia matako kufikiria bila ubongo uliopewa bure na Mwenyezi Mungu.