Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Wewe dada siku ukijielewa, haufanya haya unayofanya sasahivi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe dada siku ukijielewa, haufanya haya unayofanya sasahivi.
Wewe mwenye div.1 ya 7 tupe ponts 😝😝Ata hiyo Div.4 umependelewa kwa hizo point zako za kijinga unazo andika
Fafanua hapa why aende yeye na sio kumtuma balozi anayesimamia ukanda huo kutembelea exhibition hiyo? Vipi na yeye ameweka booth huko?Wewe unaetumia kichwa mbona umejaza makamasi na huna unachoweza kubadili Hali yako na ya Nchi..🚮🚮
Usikute tunahangaishwa na ka Stive Nyerere bila kujua😅.Wewe ni ngumbaru tu matako ya ng’ombe unatumia matako kufikiria bila ubongo uliopewa bure na Mwenyezi Mungu.
Hali hiyo ni mbaya wapi? Usidhani kwa kushikishwa ukuta wewe ndio mbaya kwa wote.Pamoja na uzurulaji wake hali ni mbaya kuliko alivyoikuta.
Hawezi kujibu hili swali zaidi ya kuja personal attacks tu,.Fafanua hapa why aende yeye na sio kumtuma balozi anayesimamia ukanda huo kutembelea exhibition hiyo? Vipi na yeye ameweka booth huko?
Wewe mwenye div.1 ya 7 tupe ponts [emoji13][emoji13]
Ndio maana nakwambia utapiamlo umeharibu akili yako..Fafanua hapa why aende yeye na sio kumtuma balozi anayesimamia ukanda huo kutembelea exhibition hiyo? Vipi na yeye ameweka booth huko?
Mtembea bure sio sawa na mkaa bure.Yaani ni awamu ile, wahuni walimpangia safari JK ya mwaka mzima, anakaa huko wiki 2 akiridi anazuga ziara ya kikazi mkoa mmoja ama 2 anatoweka tena hivyo hivyo.
Na huyu mama mtindo ndio huo huo.
Tusubiri tuone.
Hangaya = hangaika (zurura) bila hayaHivi hili jina Hangaya nyuma yake linabeba maana gani? Isije likawa na maana ya anayezurura, kutangatanga ama kutokutulia sehemu moja. Maneno ama speli za kichawi huumba tabia! Nyie watani zangu Wasukuma shauri zenu, oohoo!
Hawa ndio wapambe na washauri wa mama gharama za kumtoa Raisi huku na timu yake kwa ndege ya kukodi, gharama za maradhi ni kubwa mno? Kwanini asingemuachia balozi wa ukanda huo kutembelea na kutuma ripoti ama kazi za balozi zetu ni nini?Usikute tunahangaishwa na ka Stive Nyerere bila kujua😅.
...huenda akazidi kutumia pesa za walipa-kodi.Mtembea bure sio sawa na mkaa bure.
Alikuwa kwetu Ngara jana, unadhani hakuna wa kumpa briefing?.Kula bata ngoja ale ila kinachoniuma ni gharama zake binafasi na timu anayokwenda nayo pesa nyingi zinavuja kupitia hizi safari za kufanya utalii.
Mpaka kuja kutoka ikulu atakuwa katembea dunia nzima, najiuliza tu briefing anazipitia muda gani?
Leta points za div 1 ya 7 sio kutokota mapema hivi 🤣🤣Hutaelewa ata ukipewa point gani. Maana wewe ni kiazi mbatata hasa
Sasa kinachokufanya umponde JPM ni kipi ikiwa yote haya unayopost amehusika kwa asilimia zaidi ya 80?Hali hiyo ni mbaya wapi? Usidhani kwa kushikishwa ukuta wewe ndio mbaya kwa wote.
Mbaya sio? 🤭🤭
View attachment 2128894
View attachment 2128895
View attachment 2128896
View attachment 2128897
View attachment 2128898
Ana bajeti yake inapangwa na bunge la jamhuri wa muungano....huenda akazidi kutumia pesa za walipa-kodi.
Nonsense,kubwa jingaWewe dada siku ukijielewa, haufanya haya unayofanya sasahivi.
Balozi wetu UAE almost sawa na Rais wa JMT.Hawa ndio wapambe na washauri wa mama gharama za kumtoa Raisi huku na timu yake kwa ndege ya kukodi, gharama za maradhi ni kubwa mno? Kwanini asingemuachia balozi wa ukanda huo kutembelea na kutuma ripoti ama kazi za balozi zetu ni nini?
JPM alishalizungumzia hili sana kama kuna haja ya yeye kushirikia kila maenesho basi kusingekuwa na unuhimu wa kufungua balozi katika mataifa ya wenzetu.