Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Ndio maana nakwambia utapiamlo umeharibu akili yako..

Kwa hiyo balozi anaweza wapa uhakika investors, unadhani Tzn/Africa ni Ulaya?

Umewahi kumuona balozi ameongozana na wafanyabiashara?Hiyo status huwa ni ya Rais,PM na pengine Waziri wa Foreign Affairs Duniani kote.Unaelewa sababu?

Tupe mfano wa Balozi aliyeleta investors hususani kwenye serikali ya Mwendazake.
Nje ya kuimarisha diplomasia hawa watu pia wana wajibu wa kuhakisha wanatafuta wawekezaji wa kuja kuwekeza nchini hasa katika sekta ya viwanda.

Mfano mzuri ni balozi wetu anayewakilisha katika nchi ya china alifanya kazi nzuri ya kuvutia wawekezaji.

Sasa ngonjera hata bila raisi kuonekana huko hakuna wawekezaji wataokuja hapa hujui mabalozi ni wawakilishi wa raisi katika nchi husika?

Siku nyingine ficha ujinga wako
 
Mkuu wangu Nyboma ukimsikiliza vyema balozi wetu wa nchini China mh.kamarada Mbelwa Kairuki utaelewa alimaanisha nini Tanzania kuhitajika kuongeza kilimo cha zao la kahawa.....nje inatakiwa zaidi ya kiwango tunacholima na kusafirisha!

Siempre JMT
Kwa hiyo Raisi akiwepo huko ndio hao wawekezaji watakuja tanzania 😜😜 bu tuwe serious comrade wangu Jumbe Brown
 
Nje ya kuimarisha diplomasia hawa watu pia wana wajibu wa kuhakisha wanatafuta wawekezaji wa kuja kuwekeza nchini hasa katika sekta ya viwanda.

Mfano mzuri ni balozi wetu anayewakilisha katika nchi ya china alifanya kazi nzuri ya kuvutia wawekezaji.

Sasa ngonjera hata bila raisi kuonekana huko hakuna wawekezaji wataokuja hapa hujui mabalozi ni wawakilishi wa raisi katika nchi husika?

Siku nyingine ficha ujinga wako
Wako wapi wawekezaji walioletwa na Balozi?
 
Kwa hiyo Raisi akiwepo huko ndio hao wawekezaji watakuja tanzania 😜😜 bu tuwe serious comrade wangu Jumbe Brown
Kumbe,wanapata assurance kutoka kwa mkuu wa Nchi,Nimekwambia Africa sio Ulaya au western..

Marais wengi tuu wameenda tena sio wa Africa hadi Ulaya,afu kima na maskini kama wewe eti unauliza Dubai expo kufanya nini? Una Akili timamu kweli?

Akikaa humu mnajambiana ofisini ndio inakusaidia nini wewe na WA kijijini kwenu?
 
Kumbe,wanapata assurance kutoka kwa mkuu wa Nchi,Nimekwambia Africa sio Ulaya au western..

Marais wengi tuu wameenda tena sio wa Africa hadi Ulaya,afu kima na maskini kama wewe eti unauliza Dubai expo kufanya nini? Una Akili timamu kweli?

Akikaa humu mnajambiana ofisini ndio inakusaidia nini wewe na WA kijijini kwenu?
Maskini ni wewe na familia yako usiniite maskini hunijui aisee, nimeangalia avatar yako nimegundua wewe ni chawa pro max wa mama 😜😜
 
Kwa hiyo Raisi akiwepo huko ndio hao wawekezaji watakuja tanzania 😜😜 bu tuwe serious comrade wangu Jumbe Brown
🤣🤣
Komredi wangu unajua kung'ang'ania hoja yako vyema....

Waswahili wananena NYUMBA MBILI NJOZI MBILI 🤣

Binafsi naonelea ahudhurie tu huko mkutanoni kwani kuna POSITIVE IMPACT kamarada
 
Ndio maana namkubali anawapuuza wajinga anachanja mbuga na alishasema wazi atasafiri kokote kutafuta pesa,haendi kuuza sura huko Duniani alishasafiri Sana kabla hajawa hata mbunge.

Hajawahi fanya safari ya hasara.
Kuna waungwana wanahoji pesa ya kodi anayotumia kusafiri, yaani pesa inawauma sana. Wanachosahau ni kuwa huko nje anakwenda kutafuta fursa za maisha yao wenyewe.

Wakiletewa wawekezaji halafu wakapewa kazi, wanaanza kuzingua na masuala yao ya kuendekeza uswahili.
 
Unajua gharama za safari akisafiri Raisi na jopo lake ama unajiongelesha hapa…huna uchungu na pesa za walalahoi wewe…
Huko anapokwenda anatafuta fursa, zenye faida nyingi kuliko hiyo kodi yetu tunayomsimangia ya nauli ya kwenda na kurudi.
 
🤣🤣
Komredi wangu unajua kung'ang'ania hoja yako vyema....

Waswahili wananena NYUMBA MBILI NJOZI MBILI 🤣

Binafsi naonelea ahudhurie tu huko mkutanoni kwani kuna POSITIVE IMPACT kamarada
Ile zile gharama za timu nzima ni kubwa mno, unatambua ya kwamba yeye binafsi gharama za kwenda ziara kule france na belgium ametumia zaidi ya milioni 250M hapo timu aliyosafiri nayo ambapo ukijumlisha hapo ni mabilioni kadhaa...

Hiyo pesa ni nyingi sana ingetosha kujenga vituo vya afya kadhaa hapa nchini ama kununua vitanda vya wagonjwa, wakati mwingine tuwe fair basi maana hata hatatulia safari nyingine imewadia tena…
 
Naona unajaribu kulazimisha mknd wako utafune miwa na wakati sio kazi ulioumbiwa.

Nimeshasema sitaki ku- argue na mafukara.
Tajiri unafanya nini humu? Huo mda tajiri anautoa wapi? Mega gool wewe mkyundu 👇

Screenshot_20220222-100231.jpg
 
Kumbe,wanapata assurance kutoka kwa mkuu wa Nchi,Nimekwambia Africa sio Ulaya au western..

Marais wengi tuu wameenda tena sio wa Africa hadi Ulaya,afu kima na maskini kama wewe eti unauliza Dubai expo kufanya nini? Una Akili timamu kweli?

Akikaa humu mnajambiana ofisini ndio inakusaidia nini wewe na WA kijijini kwenu?

Yaani nyinyi chawa mnaishi kwa kodi zetu, halafu mnaleta maneno ya shombo humu! I wish siku moja mlipukiwe na ndege huko angani na mkaishie zenu bahari ili maisha yaendelee.
 
Back
Top Bottom