Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC

Daah kwani hatuna ubalozi uko?!

Mashine za Kuscan Muhimbili hazifanyi kazi watu wanakwea mapipa tu…tutaelewana tu
 
Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020

Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.

Chanzo: TBC
Huyu mama na JK kwa kusafiri ninawapongeza
 
Yaani ni awamu ile, wahuni walimpangia safari JK ya mwaka mzima, anakaa huko wiki 2 akiridi anazuga ziara ya kikazi mkoa mmoja ama 2 anatoweka tena hivyo hivyo.

Na huyu mama mtindo ndio huo huo.

Tusubiri tuone.
Tukisubiri tuone, tutakuwa tumechelewa sana. Ni wakati wa kuchukua hatua, azuiwe atake asitake.
 
Haya maonesho mama anayoenda kushiriki yana faida gani kwetu?
Mkuu wangu Nyboma ukimsikiliza vyema balozi wetu wa nchini China mh.kamarada Mbelwa Kairuki utaelewa alimaanisha nini Tanzania kuhitajika kuongeza kilimo cha zao la kahawa.....nje inatakiwa zaidi ya kiwango tunacholima na kusafirisha!

Siempre JMT
 
Nimegundua kubishana na fukara ni kujipa tabu zisizokuwa na ulazima.

Tafuta mafukara wenzako mjadili huo ujinga wako.
Bora fukara utapata pointi,siwezi kupoteza nguvu kumuelimisha mpumbavu ambae wazazi wake walimshindwa.👇

Screenshot_20220222-100231.jpg
 
Umewahi ona wapi Samia anafanya ziara za hasara kama Mwendazake?

Aibu gani unayoisemea wewe? Pesa ni za mkopo na kama ni msaada ni jambo la Nchi husika kujiskia kutoa kwa sababu za urafiki nk..

China alipotoa msaada wa kujenga Tazara na Sasa kajenga Chuo cha Uongozi cha ccm umempa nini?

China huyo huyo kajenga Makao Makuu ya AU hapo Addis Ababa,walidai nini?

Mwisho,Rais kaenda Ufaransa si tuu karudi na connection za wafanyabiashara bali na pesa za mkopo na msaada juu.

Huko anakoenda ni sehemu ya jukwaa la biashara kwa hiyo inategemeana atakutana na makundi gani.

Wewe kwa akili yako umeona Serikali ya Samia ina struggle kutekeleza miradi iliyomtoa makamasi Mwendazake?
SSH anajua kujishusha. Mtazamo wake upo very positive, ni rahisi kusikilizwa na akaeleweka.
 
Balozi wetu alikuwa anatosha kabisa, kwa mfano kuna maonesho makubwa tu hufanyika kule Namibia na tukawakilishwa vizuri kabisa na balozi wetu comrade Kipilimba.

Mama hasa anaenda kufanya nini? Yaani kila kitu yeye yumo tu? Embu shughulisha hicho kichwa chako vizuri
Wanasema eti anaupiga mwingi!
 
SSH anajua kujishusha. Mtazamo wake upo very positive, ni rahisi kusikilizwa na akaeleweka.
Ndio maana namkubali anawapuuza wajinga anachanja mbuga na alishasema wazi atasafiri kokote kutafuta pesa,haendi kuuza sura huko Duniani alishasafiri Sana kabla hajawa hata mbunge.

Hajawahi fanya safari ya hasara.
 
Back
Top Bottom