Katibu mkuu wa Wizara ya Uwekezaji aliyeko Dubai amesema Rais Samia ataondoka Tanzania kuelekea Dubai kushiriki maonesho ya Expo 2020
Wawekezaji wengi sana wameonesha nia ya kuja kuwekeza Tanzania, amesema Katibu mkuu.
Chanzo: TBC
Daah kwani hatuna ubalozi uko?!
Mashine za Kuscan Muhimbili hazifanyi kazi watu wanakwea mapipa tu…tutaelewana tu