Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Rais Samia kuondoka Februari 24, 2022 kuelekea Dubai kushiriki maonyesho ya Expo 2020

Dubai Expo ni 77
Kwa hiyo? Nikajua ni 88 kumbe 77 ambyo huwa Marais wa jirani wanakuja kufungua au kufunga? Tafuta hoja nyingine.👇

Screenshot_20220223-101443.png
 
Kabla ya kuhoji ungetumia bichwa lako kuyafuatilia..

Hayo ndio maonesho makubwa kabisa ya biashara na teknolojia Duniani,kila Nchi inayatumia kutafuta fursa na tuna Banda letu kule.

Marais wengi wameenda kujinadi Huko Ili kuvutia biashara,pia hayo maonyesho hufanyika kwa miezi 6 mfululizo.
wanaelewa basi....ni kuandika tu wakiwa ktk keyboard
 
Miaka sita ya Magufuli hakwenda huko Ulaya wala kusafiri safiri nje ya nchi, kwa point yako hii nilitegemea hizo changamoto ulizozisema zingekuwa vimeshatatuliwa..

Vipi kuhusu ukarabati wa shule?? Tunaona kila shule imepata madarasa mapya, kwanini yule aliyekuwa hasafiri alishindwa?
Magufuli alikarabati shule nyingi tu na kununua Madawati nchi nzima! Huyo bibi ushungi anafanya maendeleo kwa kukopa hana jipya!
 
Ona ulivyo na akili ya kindergarten,kwa hiyo serikali ina invest kwenye social and economic infrastructure kwa ajili ya nani hasa?

Nimekudharau kabisa.
Ndomaana nakwambia hujui chochote kwenye maisha na probably wewe ni mtoto bado, wakati wenzako wanajitajirisha huko nyuma kabla ya hizi mbanga unazopost humu wewe ulikiwa wapi? Kama umeshindwa huko nyuma, ndo nakuuliza sasa:-

Haya ya Mama ako yatakusaidiaje??

Vijana acheni ushabiki wa kijinga nyuma ya keyboard, ingieni field muone.
 
Unajua gharama za safari akisafiri Raisi na jopo lake ama unajiongelesha hapa…huna uchungu na pesa za walalahoi wewe…
Hizo gharama hazipo katika bajeti au zilipangwa???Moja ya kazi za fedha ni hizo na zimepangiwa bajeti...Shida iko wapi
 
Ndomaana nakwambia hujui chochote kwenye maisha na probably wewe ni mtoto bado, wakati wenzako wanajitajirisha huko nyuma kabla ya hizi mbanga unazopost humu wewe ulikiwa wapi? Kama umeshindwa huko nyuma, ndo nakuuliza sasa:-

Haya ya Mama ako yatakusaidiaje??

Vijana acheni ushabiki wa kijinga nyuma ya keyboard, ingieni field muone.
Status yako ni hii hapa 👇

Screenshot_20220222-100231.jpg
 
Umewahi ona wapi Samia anafanya ziara za hasara kama Mwendazake?

Aibu gani unayoisemea wewe? Pesa ni za mkopo na kama ni msaada ni jambo la Nchi husika kujiskia kutoa kwa sababu za urafiki nk..

China alipotoa msaada wa kujenga Tazara na Sasa kajenga Chuo cha Uongozi cha ccm umempa nini?

China huyo huyo kajenga Makao Makuu ya AU hapo Addis Ababa,walidai nini?

Mwisho,Rais kaenda Ufaransa si tuu karudi na connection za wafanyabiashara bali na pesa za mkopo na msaada juu.

Huko anakoenda ni sehemu ya jukwaa la biashara kwa hiyo inategemeana atakutana na makundi gani.

Wewe kwa akili yako umeona Serikali ya Samia ina struggle kutekeleza miradi iliyomtoa makamasi Mwendazake?
Zwazwa kama zwazwa kwenye ubora wake.
 
Back
Top Bottom