Rais Samia kuongoza CC ya CCM leo, macho na masikio ya Watanzania ni majina ya Walioteuliwa kugombea nafasi za Mkoa na Taifa

Rais Samia kuongoza CC ya CCM leo, macho na masikio ya Watanzania ni majina ya Walioteuliwa kugombea nafasi za Mkoa na Taifa

IMG-20221112-WA0199.jpg
 
===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,

Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
Mungu ibariki CCM YETU
 
Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana!

Ni bora muendelee na mapambio tu....
Tusijibu kwakuwa ninyi mnao ushahidi Au tusijibu kwa Uvivu wetu?
 
Back
Top Bottom