Nzie ya Mana
JF-Expert Member
- Aug 23, 2020
- 1,515
- 1,730
Majizi makubwa yakiongozwa na yule kichaa jiwe!Uliibiwa kura ngapi?
Lete ushahidi hapa sio kubwata bwata tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Majizi makubwa yakiongozwa na yule kichaa jiwe!Uliibiwa kura ngapi?
Lete ushahidi hapa sio kubwata bwata tu
Ccm ipi mpaka 2030 ? ipo siku mtaelewaHakuna Vita ya Urais CCM,
#RAIS NI SAMIA TU MPAKA 2030
OVA,
Funika mku....ndu wako unatoa harufu mbaya sanaFukuza Muongo na Mpini wanachafua hali ya hewa
Ni Mjinga tu anayewaza kama unavyowaza weweFukuza Muongo na Mpini wanachafua hali ya hewa
2045 itapendezaKwa nini tusifanye hadi 2035?
Mnahangaika Sana BAVICHAMajizi makubwa yakiongozwa na yule kichaa jiwe!
Hata jiwe alisema hivyo hivyoHakuna Vita ya Urais CCM,
#RAIS NI SAMIA TU MPAKA 2030
OVA,
Daaah JF ni shida SanaFunika mku....ndu wako unatoa harufu mbaya sana
Kwani Jiwe aliprint fomu ngapi?Hata jiwe alisema hivyo hivyo
Acha uongo.....macho na masikio ya Watanzania ni majina ya Walioteuliwa kugombea nafasi za Mkoa na Taifa
Amekosa kuuliwa kipindi cha Jpm aje afe leo?Ila we jamaa hizi Chuki zitakuua aisee
Anapambana Sana Mama yetuMama hapoi ata kwa Sekunde moja aisee
Mungu ibariki CCM YETU===
Ni masaa machache tu baada ya kurejea kutoka katika Mkutano wa Dunia wa Uhifadhi wa Mazingira wa 27 yaani COP27 huko Nchini Misri,
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan kuongoza kikao cha Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM ya Taifa, Dodoma.
View attachment 2414119
#CCMImara
#KaziIendelee
Majina ya wagombea uwennyekiti mkoa lini wanatoa?Anapambana Sana Mama yetu
Tusijibu kwakuwa ninyi mnao ushahidi Au tusijibu kwa Uvivu wetu?Mngekuwa na akili nyie CCM msingekuwa mnajibu chochote kuhusu wizi kwenye chaguzi zetu,mana ni jambo lilo waza sana!
Ni bora muendelee na mapambio tu....
Nadhani hili ni LeoMajina ya wagombea uwennyekiti mkoa lini wanatoa?
vp yameishatoka?Nadhani hili ni Leo
Mwizi ni Wewe na Mbowe wakoKwahiyo hayo majizi ya kura ndio yenye upendo?