Mkuu 'Mmawia', ukitaka tuelewane katika mambo haya, achana na ujinga huu.Sukuma gang mnatia sana huruma kudadeeki
Wewe ulipita bila kupingwaNi uthibitisho kuwa Viongozi wakuu wa Chadema wamelamba asali.
Rais anayeendelea kuwakumbatia wanawake 19 waliofoji nyaraka za chama, wakafukuzwa uanachama na bado anawakingia kifua ili wabaki bungeni waendeelee kula kodi za wananchi utamwalikaje kwenye kikao cha wanawake watiifu kwa chama?
Mbowe anaigeuza Chadema kuwa tawi la CCM.
Na ni ushahidi kuwa akina Mbowe wanampigia kampeni ya urais Samia in exchange ya viti vichache vya ubunge watakavyogawana akina Mbowe na genge lake.
Hivi Mkumbo, Kabudi na Lukuvi waliwahi kufanya nini ukilinganisha na orodha ya watu kama kina Makonda na Sabaya???Nimependa kusikia kwamba Watanzania sasa wanaishi kama ndugu na wanashirikiana.
Watanzania miaka yote tumekaa pamoja kwenye familia, kwenye mahusiano, kanisani, kazini na maeneo mbalimbali yanayotuleta pamoja.
Lakini Watanzania hao hao tumekuwa maadui kwenye ulingo wa siasa. Maana yake tunaelewana na kusema NI ndugu kwenye kila kitu Ila inapokuja kwenye siasa tunafanya unafiki kwamba Sisi siyo ndugu.
Naamini makubaliano ya Mbowe na Mhe. Rais kuhusu Rais kuwa mgeni rasmi siku ya wanawake yamepokelewa Kwa mtizamo tofauti. Nini maoni yako?
Maoni yangu Mimi NI haya;
Mhe. Rais kuwa mgeni Rasmi kwenye mkutano wa chadema nikutuma salamu Kwa vyombo vya dola kwamba Tanzania sasa NI moja. Nikutuma salam Kwa viongozi Aina ya Muro, Makonda, Mnyeti, Gambo, Nape, Mwigulu, Ndugai, Mkumbo, Molel, Tulia, Bashiru, Kabudi, Lukuvi, nk kwamba siyo lazima uwe na roho ya kikatili Ndipo ukubalike au uongoze....Duniani tunapita ccm au CDM tutaviacha......Sisi NI ndugu.
Have you drifted this low?!..SUKUMA GANG watajinyonga kwa taarifa hizi.
This is nonsense!!..SUKUMA GANG watajinyonga kwa taarifa hizi.
Wanaofanya hayo ni watumwa wa ibirisiBinafsi nimeipenda hii,siasa sio kuuana,kuchinjana na kuwekana lokapu Ili kukomoana!
Sukuma gang ndiyo wachawi wa amani na mshikamano wa nchi hiiThis is nonsense!!
Nchi hii haina mambo ya Usukuma gang wala nn. Machawa nyie ndiyo mnachochea mambo haya
Kubali chadema imekufa kabisa hakuna Chama pale hata mtetee vipiMissile, do not speculate untill you spectate. Sikudhanii kama unaweza kuwa na such reasoning
Sukuma gang wote hawafurahii huu muelekeo mzuri wa mshikamano wa nchi yetu.Ni watu wenye mawazo mgando tu wanaoweza kupinga ushirikiano na mshikamano kati ya wanasiasa na vyama vya kisiasa. Mara nyingi tumeona wanasiasa wa vyama wakialikana kwenye matukio ya vyama na haijawahi kuwa dhambi. Sasa inakuwaje hili tukio la mama Samia kuhudhuria mkutano wa BAWACHA uchukuliwe kwa hisia hasi?
Watanzania punguzeni chuki. Muombe Mungu awaepushe na dhambi ya chuki. Sisi sote ni ndugu hatupaswi kuchukiana kama ilivyokuwa ktk utawala wa Magufuli.
Lengo la Magufuli lilikuwa kuigawa nchi kwa misingi ya kisiasa na kikabila lakini Rais Samia anataka kutuunganisha pamoja. Asiyependa umoja miongoni mwa watanzania, ahamie Burundi.
Mkumbo ni mnafiki na anaongoza kuwachukia wapinzani.Hivi Mkumbo, Kabudi na Lukuvi waliwahi kufanya nini ukilinganisha na orodha ya watu kama kina Makonda na Sabaya???
Ila kuna wakati binadamu anamchukia binadamu mwenziye bila sababu ya msingi. Nashangaa sana kuona orodha ya wenzetu hawa wanalinganishwa na watu kama kina Makonda. Kuna wakati tuache unafiiki bhana
Ni ushamba!
Mkuu Kalamu wewe unepaniki huko Ccm leo watu watalala na viatu.Eti Eeeh! Bhwanaaah?
"... Kuirudisha amani na upendo kwa waTanzania..."!
Haya mambo mazuri hayawezi kurudi bila CHADEMA kujisalimisha kwa Samia na tawi lake la CCM?
Kwa hiyo ajenda pekee iliyokuwa ikipiganiwa na CHADEMA miaka yote hii ni hayo mawili tu basi?
Kweli. Maana siku zote anatamani Upinzani ufeli ili achukue kete.Mkumbo ni mnafiki na anaongoza kuwachukia wapinzani.
Mkumbo kuchukia hatua hii ya muafaka na maridhiano ni sawa maana hana uhakika na kurudi jimboni alilopewa na Jiwe.
Dr Slaa amesema leo kama haya anayofanya Rais hawakukubaliama kwenye Kamati Kuu ya CCM basi leo kuna watu watalala na viatu na wengine watalazwa hospitalini.Sukuma gang wote hawafurahii huu muelekeo mzuri wa mshikamano wa nchi yetu.
Hata baadhi ya wabunge wa ccm hawataki kabisa hii hatua tuliyofikia
Safi sanaBinafsi nimeipenda hii,siasa sio kuuana,kuchinjana na kuwekana lokapu Ili kukomoana!
Ndiyo mgekuwa mnakesha kwenye mitandao na kuwanunulia boda boda wa Arusha ili watafute huruma kutoka kwa wananchi?Kubali chadema imekufa kabisa hakuna Chama pale hata mtetee vipi
Mkumbo kachanganyikiwa tayariKweli. Maana siku zote anatamani Upinzani ufeli ili achukue kete.
Ataendelea kuchanganyikiwa tuMkumbo kachanganyikiwa tayari