Rais Samia kuwa mgeni rasmi kongamano la BAWACHA siku ya wanawake duniani

Sukuma gang mnatia sana huruma kudadeeki
Mkuu 'Mmawia', ukitaka tuelewane katika mambo haya, achana na ujinga huu.

Wewe siku zote, siku nyingi sana humu tumejibishana mara nyingi tu vizuri, na ninazo 'likes' zako nyingi sana ulizowahi kunipa.
Halafu leo unageuka na kunipa lebo ua u-'gang'.

Hii haionyeshi tabia mbovu kabisa uliyonayo wewe mwenyewe, na kwa bahati mbaya, wengi wenu mlioko huko ndani ya CHADEMA, kwamba ni wachumia tumbo tu, ambao siyo tofauti kabisa na hao tunaowasema hapa kuwa wapo ndani ya CCM?

Hii ndiyo sura halisi ya CHADEMA na sasa imejitokeza bayana, kila mtu ajionee mwenyewe.
 
Wewe ulipita bila kupingwa
 
Hivi Mkumbo, Kabudi na Lukuvi waliwahi kufanya nini ukilinganisha na orodha ya watu kama kina Makonda na Sabaya???

Ila kuna wakati binadamu anamchukia binadamu mwenziye bila sababu ya msingi. Nashangaa sana kuona orodha ya wenzetu hawa wanalinganishwa na watu kama kina Makonda. Kuna wakati tuache unafiiki bhana

Ni ushamba!
 
Ni watu wenye mawazo mgando tu wanaoweza kupinga ushirikiano na mshikamano kati ya wanasiasa na vyama vya kisiasa. Mara nyingi tumeona wanasiasa wa vyama wakialikana kwenye matukio ya vyama na haijawahi kuwa dhambi. Sasa inakuwaje hili tukio la mama Samia kuhudhuria mkutano wa BAWACHA uchukuliwe kwa hisia hasi?

Watanzania punguzeni chuki. Muombe Mungu awaepushe na dhambi ya chuki. Sisi sote ni ndugu hatupaswi kuchukiana kama ilivyokuwa ktk utawala wa Magufuli.

Lengo la Magufuli lilikuwa kuigawa nchi kwa misingi ya kisiasa na kikabila lakini Rais Samia anataka kutuunganisha pamoja. Asiyependa umoja miongoni mwa watanzania, ahamie Burundi.
 
Missile, do not speculate untill you spectate. Sikudhanii kama unaweza kuwa na such reasoning
Kubali chadema imekufa kabisa hakuna Chama pale hata mtetee vipi
 
Sukuma gang wote hawafurahii huu muelekeo mzuri wa mshikamano wa nchi yetu.

Hata baadhi ya wabunge wa ccm hawataki kabisa hii hatua tuliyofikia
 
Mkumbo ni mnafiki na anaongoza kuwachukia wapinzani.

Mkumbo kuchukia hatua hii ya muafaka na maridhiano ni sawa maana hana uhakika na kurudi jimboni alilopewa na Jiwe.
 
Mkuu Kalamu wewe unepaniki huko Ccm leo watu watalala na viatu.

Tusubiri Rais aweke mambo sawa kisheria na kikatiba.
 
Sukuma gang wote hawafurahii huu muelekeo mzuri wa mshikamano wa nchi yetu.

Hata baadhi ya wabunge wa ccm hawataki kabisa hii hatua tuliyofikia
Dr Slaa amesema leo kama haya anayofanya Rais hawakukubaliama kwenye Kamati Kuu ya CCM basi leo kuna watu watalala na viatu na wengine watalazwa hospitalini.
 
Kubali chadema imekufa kabisa hakuna Chama pale hata mtetee vipi
Ndiyo mgekuwa mnakesha kwenye mitandao na kuwanunulia boda boda wa Arusha ili watafute huruma kutoka kwa wananchi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…