Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Watu hawana raha kabisa. Maana hata maharage tu yamefikia elfu tatu na ushehe.
Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao.
Hii salamu haisaidii
Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao.
Hii salamu haisaidii