Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
- Thread starter
- #41
Huna akili. Huwezi kudadavua mambo.Kwahiyo Samia badala ya kuwatakia heri kwenye Pasaka awapikie pilau na kuku au sio. Ndio hoja ya mleta mada
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna akili. Huwezi kudadavua mambo.Kwahiyo Samia badala ya kuwatakia heri kwenye Pasaka awapikie pilau na kuku au sio. Ndio hoja ya mleta mada
Matusi ya zamani sana labda useme shati lako ama android yakoPumbavu
Umemaliza?Matusi ya zamani sana labda useme shati lako ama android yako
Umemaliza?Matusi ya zamani sana labda useme shati lako ama android yako
If you do not know where you are going any road will take you thereUmemaliza?
Mchele kilo 3500 nusu kilo 3500/2 = 1800 robo 900Hicho kidogo alichotupa ni nini? Kununua mchele Tsh 3500?
Pasaka ni siku ya kula uji, Magimbi na viazi vitamu, juice TogwaPasaka sio siku ya kula pilau
Magimbi na viazi vitamu ni nyuzi lishe kwaajili ya kuimarisha ngoziPasaka ni siku ya kula uji, Magimbi na viazi vitamu, juice Togwa
Yaan unakula unashiba na ukitoka hapo unajisikia amani sanaMagimbi na viazi vitamu ni nyuzi lishe kwaajili ya kuimarisha ngozi
Tena sana badala ya kulamba pilau ambayo hushibi tena unapoteza muda mwingi kwaajili ya mandalizi na uangaliziYaan unakula unashiba na ukitoka hapo unajisikia amani sana
Kweli kabisa mkuu,iTena sana badala ya kulamba pilau ambayo hushibi tena unapoteza muda mwingi kwaajili ya mandalizi na uangalizi
Tatizo la uchumi ni kubwa kuna mambo mengi sana yanatakiwa yafanyiwe kazi hatuna uwanja mpana wa mijadala ya kitaifa wachache waliopo hudhani wana uwezo wa kufikiri kuliko wengine mfano mimi nimebuni kwanini biashara zinakufa na nini kifanyike, ubunifu wangu unakuja ndani ya miezi michache ijayo na mshukuru Mungu kwa kila jambo. moja ya sababu kwanini biashara zinakufa ni maamuzi ya kisiasaAnataka tuliombee taifa amani na utulivu wakati yeye anazorotesha utulivu kwa kushindwa kudhibiti mfuko wa bei na kutowachukulia hatua wala rushwa na kuishia kuwaambia tu stupid.
Kuvipata ndio tabu. Wewe mlamba asali kula raha
Kalamu ya mwisho ndio niniImekuwa ni desturi. Ndio maana hata kalamu ya mwisho iliandaliwa