Mr Pixel3a
JF-Expert Member
- Sep 15, 2021
- 5,710
- 8,579
Huna unachoelewa sidhani ata Biblia unaijua vizuri!!Wapi imeandikwa Pasaka inaendana na pilau na nyama. Au wewe ni mmojawapo ya ambao huwa "mnakula sikukuu" badala ya kuadhimisha sikukuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huna unachoelewa sidhani ata Biblia unaijua vizuri!!Wapi imeandikwa Pasaka inaendana na pilau na nyama. Au wewe ni mmojawapo ya ambao huwa "mnakula sikukuu" badala ya kuadhimisha sikukuu
Kauze taqoWatu hawana raha kabisa. Maana hata maharage tu yamefikia elfu tatu na ushehe.
Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao.
Hii salamu haisaidiiView attachment 2582027
Inaitwa night supper na sio last , yesu aliwapa wanafunzi wake night supperSawa. Last supper
Nadhani una fhuki kali sana aiseeWatu hawana raha kabisa. Maana hata maharage tu yamefikia elfu tatu na ushehe.
Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao.
Hii salamu haisaidiiView attachment 2582027
Sherekea kwa kumtukuza Mungu na sio Anasa asema bwanaPASAKA ni sikukuu na inaendana na sherehe ,Musa Aliwatoa Waisraeli Misri kwa sherehe ,We PassOver lazma tule na Tunywe
Kwa andiko gani unadhani mbinguni hawana sherehe Acheni ujuwa ivi kunywa soda na pilau ni Anasa!??Sherekea kwa kumtukuza Mungu na sio Anasa asema bwana
Sasa Mkuu soda na pilau siunaweza kununua kwa bajeti yako au unamsubiri mh RaisKwa andiko gani unadhani mbinguni hawana sherehe Acheni ujuwa ivi kunywa soda na pilau ni Anasa!??
Wala rushwa hawajawahi kuchukuliwa hatua, kinachofanyika ni kuwafunga midomo vihere here tu, piga faini, 25m, piga cheo viherehere, tikisa tikisa viherehere. Kazi kwisha kama sio mwendo umemalizwa😂😂😂Anataka tuliombee taifa amani na utulivu wakati yeye anazorotesha utulivu kwa kushindwa kudhibiti mfuko wa bei na kutowachukulia hatua wala rushwa na kuishia kuwaambia tu stupid.
So ni Anasa?Sasa Mkuu soda na pilau siunaweza kununua kwa bajeti yako au unamsubiri mh Rais
Soda ni anasa MkuuSo ni Anasa?
Na mvinyo sio Anasa?Soda ni anasa Mkuu
Kwani Kangara haikupatiii kipato😂Kuvipata ndio tabu. Wewe mlamba asali kula raha
Kwahiyo Samia badala ya kuwatakia heri kwenye Pasaka awapikie pilau na kuku au sio. Ndio hoja ya mleta madaPASAKA ni sikukuu na inaendana na sherehe ,Musa Aliwatoa Waisraeli Misri kwa sherehe ,We PassOver lazma tule na Tunywe
Emu acha habari zako mkuu wewe unatakaje unataka aje akupikie nyumbani kwako au agawe ubwabwa bure pale Kareemjee ndio uone amekufanyia la maana? You people mbon hamshukuru hata kwa kidogo mnachopewa?Hii salamu haisaidii
InasikitishaaSamia ukitoka kwenye mapumziko ya Pasaka njoo ushughulikie hawa Wezi.
Unakopa zinaporwa unakopa tena zinaporwa.
Yarabi maulana tuokoe sisi walipa kodi masikini.
Ale nyuzi lishe kuimarisha ngoziBadilisha desturi, kula viazi vitamu na chai.
Hicho kidogo alichotupa ni nini? Kununua mchele Tsh 3500?Emu acha habari zako mkuu wewe unatakaje unataka aje akupikie nyumbani kwako au agawe ubwabwa bure pale Kareemjee ndio uone amekufanyia la maana? You people mbon hamshukuru hata kwa kidogo mnachopewa?
PumbavuAle nyuzi lishe kuimarisha ngozi