Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Imekuwa ni desturi. Ndio maana hata kalamu ya mwisho iliandaliwaWapi imeandikwa Pasaka inaendana na pilau na nyama. Au wewe ni mmojawapo ya ambao huwa "mnakula sikukuu" badala ya kuadhimisha sikukuu
nikusahihishe kidogo ungeandika karamu badala ya kalamuImekuwa ni desturi. Ndio maana hata kalamu ya mwisho iliandaliwa
Sawa. Last suppernikusahihishe kidogo ungeandika karamu badala ya kalamu
Imekuwa ni desturi. Ndio maana hata kalamu ya mwisho iliandaliwa
Kuvipata ndio tabu. Wewe mlamba asali kula rahaBadilisha desturi, kula viazi vitamu na chai.
Asante Mh. Rais. Ila bado tunasubiri mrejesho wa Report ya CAG na wale uliowaita Stupid Watupishe.Watu hawana raha kabisa. Maana hata maharage tu yamefikia elfu tatu na ushehe.
Watu wana maisha magumu na wanajiona kama wakimbizi hapa nchini kwao.
Hii salamu haisaidiiView attachment 2582027
Muuza Kangara analalama,ila nina shaka kama ameweza kuwakumbuka japo kwa kidogo alicho jaaliwa kwa wasio nacho🤔Wapi imeandikwa Pasaka inaendana na pilau na nyama. Au wewe ni mmojawapo ya ambao huwa "mnakula sikukuu" badala ya kuadhimisha sikukuu
Leo natafuna kuku wa kufuga mwenye 😂Watanzania wa kijj gani mbona huku tunakula nyama...hv Kuna mtu asiye fuga hata kuku tu.
Mtaa wa kijani wameacha kutoa vifurushi vya skukuu🏃🏃Hapa napiga miayo tu nimemuomba jirani yangu ataype kwa niaba yangu.
Last supper maana yake ni chakula cha mwisho cha jioni.Sawa. Last supper