Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Mzee tukubali tu kwa sasa chadema na ccm sote tunalia.😅😅😅
 
Bila shaka hii ni fursa ya ku test huyu kunguru mpya aliyewasili.......usifanye mchezo msukuma akinunua baiskeli mpya baada ya kuuza pamba, kila saa atataka apange safari, hadi adui atatembelewa........bwahahahaahaha........
 
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Wapiga kura gani? Hawamtishi wala hawahitaji ili kutimiza azma yake ya kutawala Tz milele. Wala hataki kusikia kabisa ya KATIBA mpya.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Napata hasira kwenye agenda kama hizi hasa ukizingatia aina ya Rais wetu wa sasa na aina ya majirani na hali inchi kijasusi na kiusalama, tuwe makini sana na zone ya ukanda wa mtwara na ruvuma, we could be one of hideouts for those butchers in Cabo. Mtwara isnt safe at all.
 
Daah basi kazi ipo ila kuzurula kumekuwa kwingi sana yaani hakuna dira ya nchi vitu bado bei ziko juu kuanzia tozo mpaka vifaa vya ujenzi, mazingira ya biashara pia bado siyo rafiki sana
Sisi tuliowahi kuishi Visiwani tunazijua sifa za wananwake wa kule. Aisee wanapenda kuzulula huwezi jua kama ni wanawake wa kiislam
 
Baada ya ziara hii tutashuhudia maiti nyingi sana kwenye viroba. Keep eyes open.
1627727465331.png

Sie tushaanza kumuona 'African goddess'
 
Back
Top Bottom