Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Safari hazina maana yoyote ni ubadhilifu tu. Huyu mama anapenda kutumbua tu. Haina ulazima.. eti unazungukia majirani kuwaambia mimi ndio rais wa tanzania 😂😂. Washauri wake bila shaka sio wale wa magufuli.

Tena asijeleta issue ya waasi wa mozambique kwa kagame. Huyu ni kama mamluki anatafuta maslahi tu. Akiingia mozambique basi tutegemee hali kua mbaya zaidi maana wao wataenda tafuta kuiba madini na gesi ya mozambique. Mara ngapi wamejidai kusaidia congo.

Badala ya hali kua nzuri congo rwanda ndio inaneemeka huku congo ikigeuka dhiki na makaburi tu.
 
Sana , hao jamaa ni kucheka nao tu usoni lakini nyuma ya pazia ni watu mabaya sana
Je wakenya walio kuwa wanaifadhi na kuratibu waujumu wa madini yetu vp, wakenya ndiyo jirani mbaya kuliko wote
 
Daaah safari ya Rwanda tena yaani basi tu huyu Maza anapenda sana kuzurula au ndo anatafuta wawekezaji kutoka mkoa wa rwanda
Rwanda muhimu kuitembelea sababu ya sgr na bwawa la umeme ,ila mm nilimuona changa kwenda kenya na kujikombakomba kwa wezi wa kenya
 
Rais Lazima ajiweke karibu na wapiga kura wake zaidi.

Hizo nchi anazozitembelea hazijaichagua serikali anayoiongoza.
Rais anarudisha mahusiano na nchi majirani.unajuwa wakati wa hayati kidiplomasia tulikuwa tupo vibaya sana.
 
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Nani kwani aliyempigia kura zaidi hizi za wizi za jpm.
 
Back
Top Bottom