Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nmecheka kama mazuri[emoji2]Sukuma gang,Mataga,Bavicha sasa lugha ni moja tu.
Shida yangu ni hii hapa.Alikiri mwenyewe kuwa yeye ni mwizi wa demokrasia yetu na ni dikteta.Hafai kuwa Rais wa nchi yetu,labda akawe Rais wa familia yake.Ni muda mrefu sana umeonesha chuki binafsi na kumtukana Rais wako matusi mbalimbali, una shida gani?
Wateule wake siwapo paleToka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Asiende sio marafiki zetu waleExpected. Ardhi ya Rwanda imelaaniwa kwa damu
Ndio maana tozo hazijatolewa.wese atalitoa wapi la ruti hzo.Mfiwa ilibidi wamtembelee,Ndege siku hizi inakaa muda wote inapashwa tayari kwa kuinuka.TOZO ziko palepale
Sawa ila acha basi kumtukana sio vizuriShida yangu ni hii hapa.Alikiri mwenyewe kuwa yeye ni mwizi wa demokrasia yetu na ni dikteta.Hafai kuwa Rais wa nchi yetu,labda akawe Rais wa familia yake.
View attachment 1875208
Yeye ni vizuri kupora demokrasia yetu?Halafu unajua tofauti kati ya kumtukana mtu na kuongelea facts juu ya mtu?Hivi kama kuna mwizi ameiba simu kisha baadae akapita kwenye eneo langu kisha nikawaambia watu kuwa kibaka amepita hapa, nitakuwa nimemtukana huyo mwizi wa simu kwa kumwita kibaka?Sawa ila acha basi kumtukana sio vizuri
Hawawezi kuwa pamoja kwa sababu CDM wanafurahia msiba wa JPM wakati hao mnaowaita Sukuma gang wanahuzunika.Ndio maana nasema mimi na wewe kuendelea kurumbana wakati wanufaika ni wengine tunapoteza energy bure. Wanachadema na wanaccm tupendane tu
Ndio ashakuwa Rais..Shida yangu ni hii hapa.Alikiri mwenyewe kuwa yeye ni mwizi wa demokrasia yetu na ni dikteta.Hafai kuwa Rais wa nchi yetu,labda akawe Rais wa familia yake.
View attachment 1875208
Hao wengine wapo kwenye payroll ya lumumba, wapo humu kwa kazi maalumShida yangu ni hii hapa.Alikiri mwenyewe kuwa yeye ni mwizi wa demokrasia yetu na ni dikteta.Hafai kuwa Rais wa nchi yetu,labda akawe Rais wa familia yake.
View attachment 1875208
Suala la mtu aliezoea kukanyaga kanyaga na kubaka katiba yetu pamoja na sheria zetu kuwa Rais ni suala la aibu ambalo linapaswa kupingwa na kila mwenye pumzi.Ndio ashakuwa Rais..
Hata ubishe.
Ukiwa kiongozi tena wa watu wengi ni lazima utukanweSawa ila acha basi kumtukana sio vizuri
Ngoja tusubiri mrejesho hmuhmuAnaenda kupata short course
SwadaktaaaYeye ni vizuri kupora demokrasia yetu?Halafu unajua tofauti kati ya kumtukana mtu na kuongelea fact juu ya mtu?Hivi kama kuna mwizi ameiba simu kisha baadae akapita kwenye eneo langu kisha nikawaambia watu kuwa kibaka amepita hapa, nitakuwa nimemtukana huyo mwizi wa simu kwa kumwita kibaka?
Mimi simtukani Mama bali namwita majina ambayo ni stahili yake kwa sababu mtu ambae anaweza kutangazia uma waziwazi tena bila aibu kuwa ni mwizi wa demokrasia yetu huyo sio punguani?Unataka mtu kama huyo nimwite kuwa ni mwerevu?
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
mtu mwenyewe anajiita stroke ulitegemea nini mkuu?Rais gani alienda kila sehemu kabla ya kwenda nje? Kwa ukongwe wako humu JF sikutegemea kama una upumbavu mwingi hivi
Acha aupige mwingi,full udambwiudambwi+biriani swafi kabisa [emoji350][emoji350]Mama kwa ziara....anatisha
Kwani mlimpgia kura??Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.