Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Huyu mama anafeli. Kagame hawezi kumshauri lolote la maana zaidi ya kuua demokrasia. hivi hakujifunza kwa Jiwe?
Umekumbuka Kunywa leo Dawa zako za Ugonjwa wa Akili unaokusumbua kwa muda mrefu sasa?
 
Aiseeee.
Ijulikane Kagame bado anaomboleza kifo cha ndugu yake. Damu ni nzito kuliko maji. Hawezi kuwa na maslahi kabisa maana mbaya wake ndiyo yuko mahali fulani katika kiti cha enzi utawala huu. Narudia Siyo ya maslahi. Msije tu mkalipiziwa kisasi taratibu na Jasusi mbobevu mwenye links na majasusi wa dunia. Niishie Tu hapo Rais wangu nimpendaye.
 
Niamini mimi. Moja ya marais very smart duniani ni pamoja na Kagame Paul kwa maslahi ya Nchi yake.

Hii ziara ya Rais Samia Rwanda ....Kagame anajua anachofanya. Huyu jamaa huwa haitii hasara Rwanda niamini mimi. Akiona kuna issue au mradi hauna faida kwa Rwanda anaupiga chini. Hana majadiliano.

Yaani unahitaji kuwa very smart kufaidika na Kagame .otherwise njia nyingine ya kuwa smart ni kukaa naye mbali tu kumwangalia. Hii ziara na hayo makubaliano mfaidika Mkuu ni Paul Kagame. Niamini mimi.
IMG-20210801-WA0009.jpg
 
Awali ilianza kama tetesi hapa JF, soma Rais Samia kufanya safari nchini Rwanda mapema Agosti

UPDATE: July 31, 2021

Tanzanian President Samia Suhulu will on Monday arrive in Kigali for her first visit state to Rwanda.

During the two-day visit, she is expected to hold private talks with President Paul Kagame.

President Suluhu's visit follows recent high-level meetings between top officials from the two countries.

The most recent meeting occurred on July 16, when Rwanda’s Minister of ICT, Paula Ingabire, met her Tanzanian counterpart, Faustine Ndugulile, to review submarine cable infrastructures in Tanzania that support communication services to Rwanda.

On July 9, Rwanda's Ambassador to Tanzania, Major General Charles Karamba, met Tanzania's Minister of Defence Elias Kwandikwa in Dodoma, where they discussed "mutual interest" topics.

One of the most crucial topics of interest between the two countries now is the instability in Mozambique, where Rwanda has deployed 1000 soldiers and policemen to fight Islamist insurgents.

Tanzania also has a Memorandum of Understanding with Mozambique - signed in November 2020 - to jointly battle against Islamists in Cabo Delgado Province.

Rwanda's deployment of troops to Mozambique was not entirely supported by the Southern Africa Development Community (SADC), with reports indicating that the bloc expressed concern over a non-member deploying soldiers to the region without its approval.

Suluhu's visit now provides Rwanda with an opportunity to woo one of SADC's core members - Tanzania - on her side on matters related to the instability in Mozambique.

High on the agenda for talks between Suluhu and Kagame will also be the Isaka-Kigali standard gauge railway line, which has experienced delayed construction due to lack of funds.

The 532km railway line linking Rwanda to Tanzania and DRC is expected to cost up to $2.5 billion, with Tanzania paying $1.3 billion and Rwanda $1.2billion.

Rwanda and Tanzania have enjoyed cordial ties since 2015.

Before that both countries had a tumultuous past, at the height of which Rwanda accused Tanzanian officials of supporting rebels, while Tanzania also expelled thousands of Rwandan settlers in 2013.

They have been largely on the same page since 2015.

The most recent notable point of contention came in mid-2020 over disagreements on how to control border crossings during the coronavirus pandemic.

After back and forth interactions, the impasse was solved in May when Rwanda agreed to draw back its proposed swapping of drivers at Rusumo border, a proposal that had angered Tanzania's truck drivers' association.

Both countries also agreed to mandate the testing of truck drivers at their starting point in order to curtail the spread of Covid-19 across borders.

President Suluhu's first trip was to Uganda in April, followed by Kenga in May.

Earlier in July, she visited Burundi, and with her visit to Rwanda, she will have visited all members of the East African Community - except South Sudan - within the first four months of her presidency.

This also means that she has visited more countries than her predecessor, John Pombe Magufuli, did in his first full year as president.

Chanzo: President Samia Suluhu expected in Kigali

————
UPDATE: August 01, 2021

View attachment 1876024
Tulifiwana JPM, hata Pole hakuja kutupa.
 
Hiyo inaitwa MGUU NA NJIA,
DRC nao wameshafikisha salaam.
Tukifiwa tunatakiwa tuwe watulivu angalau huzuni iishe ndipo tuanze kwenda ukumbini
 
Nimewiwa na Furaha na nashindwa Kuelezea jinsi nilivyopokea Taarifa kuwa Kesho Rais wa Tanzania Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan anatarajia Kuanza Ziara ya Siku Mbili nchini Rwanda kwa Mwaliko wa Mwenyeji wake Rais Paul Kagame.

Rais Samia asikudanganye Mtu Mama yangu kama kuna Marais ambao wanaipenda na Kuiheshimu Tanzania na wanawapenda Watanzania ndani ya Mioyo yao kabisa basi ni Mzee Yoweri Museveni na huyu Paul Kagame unayeenda Kukutana nae Kesho.

Upendo wa Marais Kenyatta wa Kenya na Ndayishimiye wa Burundi kwa Tanzania ni wa 'Kinafiki' na 'Maslahi' zaidi ila Upendo wa Waganda ( Museveni ) na Wanyarwanda ( Kagame ) kwa Watanzania ni wa kutoka Rohoni na Moyoni kabisa.

Najua Tanzania ni 'Millitary and Intelligence Giant' kwa Ukanda Wetu huu wa Maziwa Makuu, ila kwa Uweledi na Umahiri wa Masuala ya Kijeshi, Kiusalama, Kibiashara, Kimkakati, Ubunifu, Teknolojia na Kimahusiano alionao Rais wa Rwanda Paul Kagame najua yapo ambayo utafaidika nayo Kwake na Yeye pia kuna Mema ya kutoka Kwako ( Tanzania ) atafaidika nayo ili basi kwa pamoja Tanzania na Rwanda zipige hatua Kimaendeleo na kwa Ustawi wa Wananchi wake ( wao )

Tafadhali Rais Samia usisafiri kwenda Rwanda Kesho ukiwa umebeba Kichwani mwako yale Mawazo Potofu na ya Chuki kutoka kwa baadhi ya Watanzania wasiojielewa kuhusu nchi ya Rwanda, Wanyarwanda na Rais wake ( wao ) Paul Kagame. Rwanda inaipenda Tanzania na Wanyarwanda wanawapenda mno Watanzania na tambua tunaingiliana pia hata 'Kindugu' vile vile.

Mimi kama GENTAMYCINE nakutakia Safari njema, Mapokezi mema, Ziara njema, uifurahie Rwanda na urejee salama kabisa nchini Tanzania ili uyafanyie Kazi yale mema utakayokutana nayo huko na uyatumie pia katika Uongozi ( Utawala ) wako hapa nchini Tanzania.
We jamaa una asili ya Rwanda nini? mbona huwa unaitetea sana hii nchi
 
Huyu mama hapana aisee [emoji119][emoji119][emoji119] huko sio kujitambulisha sasa em akae atulie aache maendeleo yamtambulishe
Lazima jamii ya watu wa pwani wanatabia ya kutembea tembea hovyo hawa tuliagi makwao
 
Ukiwa kiongozi tena wa watu wengi ni lazima utukanwe
Kama hutaki kutukanwa Usiwe kiongozi
na hata ukiwa mwalimu ujue wanfunzi watakupa jina utake usitake kwenye makundi ya binaadamu kuna mengi
 
Sana , hao jamaa ni kucheka nao tu usoni lakini nyuma ya pazia ni watu mabaya sana
Wakati wa marehemu Mt mtikila .aliwahi sema wamepenyeza watu wao nchi nzima wanauza matunda na wanajifanya WAHA.
Basi mara nyingi nikiwahoji mikoa tofautu tofauti nimegundua ni kweli WAHA.
 
Tumekwisha, kaenda kupata coaching namna ya kuangamiza upinzani, salaleeeeeeeee
 
Mfiwa ilibidi wamtembelee,Ndege siku hizi inakaa muda wote inapashwa tayari kwa kuinuka.TOZO ziko palepale
Una hoja ya msingi sana hapa mkuu... Ni kweli ilibidi atembelewe lakini ndo kwanza kodi ya hiari inatumika bila tija!!!! Kwa mfano apo kwa Kagame kuna issue gani yenye faida kwetu kwa tz mpaka afunge safari... Wakati mwamba hata kuja kwa msiba hakuja

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mungu Mbariki Rais wetu mpendwa Samia, tunamtakia safari yenye mafanikio baina ya Tanzania na Rwanda.
 
Back
Top Bottom