Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
AmenMungu Mbariki Rais wetu mpendwa Samia, tunamtakia safari yenye mafanikio baina ya Tanzania na Rwanda.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AmenMungu Mbariki Rais wetu mpendwa Samia, tunamtakia safari yenye mafanikio baina ya Tanzania na Rwanda.
Kule ndio Mzee wetu alienda kudanganywa akabadilikaTumekwisha, kaenda kupata coaching namna ya kuangamiza upinzani, salaleeeeeeeee
Kama wasiojulikana wapo likizo badala ya jela possibleBaada ya ziara hii tutashuhudia maiti nyingi sana kwenye viroba. Keep eyes open.
Anakwenda pewa driving licence tutakomaAnaenda kupata short course
Umakini upi sasa ndumba au walinziMwendazake alidhulumiwa, mama aongeze umakini
PAKA siku akiondoka ndipo congo itatuliaSafari hazina maana yoyote ni ubadhilifu tu. Huyu mama anapenda kutumbua tu. Haina ulazima.. eti unazungukia majirani kuwaambia mimi ndio rais wa tanzania 😂😂. Washauri wake bila shaka sio wale wa magufuli.
Tena asijeleta issue ya waasi wa mozambique kwa kagame. Huyu ni kama mamluki anatafuta maslahi tu. Akiingia mozambique basi tutegemee hali kua mbaya zaidi maana wao wataenda tafuta kuiba madini na gesi ya mozambique. Mara ngapi wamejidai kusaidia congo.
Badala ya hali kua nzuri congo rwanda ndio inaneemeka huku congo ikigeuka dhiki na makaburi tu.
Nasikia anataka kuhamia chademaMama hatabiriki,muda wowote anaweza hata kuwachenjia CCM wenzie.
Ulitaka iende kingolwira?Mpaka mitano iishe, Airbus 220 itapata shida sana. Kwenda Rwanda, Burundi, Kenya ni matumizi mabaya ya kodi za watanzania maskini
Huyu ndugu ana chuki kali mno na mh.Rais ...iko so fixed....unshackable kabisa daahNi muda mrefu sana umeonesha chuki binafsi na kumtukana Rais wako matusi mbalimbali, una shida gani?
Emb toa habari zaidikama kagame alivyodhulumiwa makontena yake ya dhahabu na na msoga hivyo ngoma droo
Ndiyo Kudemka Sasa Hivi 😂😁😀Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Tozo Sasa Hivi Zinaitwa Kamua Baba Kamua BabaMfiwa ilibidi wamtembelee,Ndege siku hizi inakaa muda wote inapashwa tayari kwa kuinuka.TOZO ziko palepale
Rais Lazima ajiweke karibu na wapiga kura wake zaidi.
Hizo nchi anazozitembelea hazijaichagua serikali anayoiongoza.