Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

Safari hazina maana yoyote ni ubadhilifu tu. Huyu mama anapenda kutumbua tu. Haina ulazima.. eti unazungukia majirani kuwaambia mimi ndio rais wa tanzania 😂😂. Washauri wake bila shaka sio wale wa magufuli.

Tena asijeleta issue ya waasi wa mozambique kwa kagame. Huyu ni kama mamluki anatafuta maslahi tu. Akiingia mozambique basi tutegemee hali kua mbaya zaidi maana wao wataenda tafuta kuiba madini na gesi ya mozambique. Mara ngapi wamejidai kusaidia congo.

Badala ya hali kua nzuri congo rwanda ndio inaneemeka huku congo ikigeuka dhiki na makaburi tu.
PAKA siku akiondoka ndipo congo itatulia
 
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Ndiyo Kudemka Sasa Hivi 😂😁😀

Jiwe Alimtimua Kazi Madilu Kisa Kuzurura Tu 😃😄😅
Alimwambia Waziri Wa Mambo Ya Ndani Watu Wanakufa
Kwenye Ajali Hutumi Rambirambi Kazi Kuzurura

Bora Nikufute Kazi Ukazurure Vizuri Huko
 
Mfiwa ilibidi wamtembelee,Ndege siku hizi inakaa muda wote inapashwa tayari kwa kuinuka.TOZO ziko palepale
Tozo Sasa Hivi Zinaitwa Kamua Baba Kamua Baba
Kamua Usitumie Hirizi Kamua 😂😁😀😃😂😁
 
Rais Lazima ajiweke karibu na wapiga kura wake zaidi.

Hizo nchi anazozitembelea hazijaichagua serikali anayoiongoza.

..mikusanyiko imekatazwa hapa nyumbani hivyo inabidi Rais afanye ziara nje ya nchi.🤣
 
Back
Top Bottom