Uchumi wa Mifugo
JF-Expert Member
- May 20, 2021
- 345
- 580
Vasco da Gama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hako ka mkoa ka Rwanda Mabeyo atakafuta dakika sifuri tu..... HAO JAMAA WASIJE WAKATUNGUA NDEGE YETU HALAFU WASINGIZIE INTERAHAMWE!
TISS WATCH OUT!
[emoji109]😎[emoji3577][emoji95]
Sio kweli, mzee wa Msoga na Kagame ni chui na paka.King'amuzi kiko Msoga
Rais Anafunguaa Milangoo ya Demokrasia wewe anatakaa kurudisha mahusiano mazuri na nchi jiranii ,,Maana ukiangaliaa nchi kama Rwanda inatutegemea sana katika sector ya usafirishaji kwa Upande Wa Bandari kwa hiyo pakiwepo mahusiano mazurii wataendelea kutumia Mandarin yetu Dar es salaam ilaa kama mahusiano mabaya watatumia Kenya bandari ya mombasaUkimuona punguani fulani anazurura kwenye hizi nchi masikini za Afrika mashariki kama nchi zake kuu za wahisani jua kuwa hamna Rais humo.
Mtu ambae alitangazia uma waziwazi tena bila aibu wala soni usoni kuwa yeye ni mwizi wa demokrasia yetu na ni dikteta hana moral authority ya kufungua milango ya demokrasia,labda akafungue milango ya demokrasia kwenye familia yake.Period.Rais Anafunguaa Milangoo ya Demokrasia
Mkuu kamanda Abubakar ana hali mbaya sana huko aliko, anytime inaweza tokea bad newsUkimuona punguani fulani anazurura kwenye hizi nchi masikini za Afrika mashariki kama nchi zake kuu za wahisani jua kuwa hamna Rais humo.
Hiu dunia si imefunzwa teknolojia ya mawasiliano ya kimtandao na covid-19? Kama kweli unahubiri janga hilo, nini kinachokunyanyua kwenda kuzurula kila leo?Rais anarudisha mahusiano na nchi majirani.unajuwa wakati wa hayati kidiplomasia tulikuwa tupo vibaya sana.
Kigogo kaamua kukacha harakati, kila akijaribu kunusa nini kinatokea kesho anaangukia puaMama hatabiriki,muda wowote anaweza hata kuwachenjia CCM wenzie.
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Mwendazake alidhulumiwa, mama aongeze umakini
Mzee tukubali tu kwa sasa chadema na ccm sote tunalia.[emoji28][emoji28][emoji28]
Matumizi mazuri kwenda wap?Mpaka mitano iishe, Airbus 220 itapata shida sana. Kwenda Rwanda, Burundi, Kenya ni matumizi mabaya ya kodi za watanzania maskini
Na wewe siku hizi umekuwa pingapinga?Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Wewe ulimpogia kura ili awe Rais wako?Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji
Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.