Rais Samia kuzuru Rwanda kwa Ziara ya Siku Mbili (Agosti 2-3, 2021)

PAKA siku akiondoka ndipo congo itatulia
 
Toka ameapishwa hajawahi fika Arusha, Mbeya, Iringa au hata hapo kibaha tu ila keshakwenda Kenya, Burundi, Msumbiji

Rais akumbuke wapiga kura wake zaidi ya hizo nchi za nje.
Ndiyo Kudemka Sasa Hivi πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€

Jiwe Alimtimua Kazi Madilu Kisa Kuzurura Tu πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜…
Alimwambia Waziri Wa Mambo Ya Ndani Watu Wanakufa
Kwenye Ajali Hutumi Rambirambi Kazi Kuzurura

Bora Nikufute Kazi Ukazurure Vizuri Huko
 
Mfiwa ilibidi wamtembelee,Ndege siku hizi inakaa muda wote inapashwa tayari kwa kuinuka.TOZO ziko palepale
Tozo Sasa Hivi Zinaitwa Kamua Baba Kamua Baba
Kamua Usitumie Hirizi Kamua πŸ˜‚πŸ˜πŸ˜€πŸ˜ƒπŸ˜‚πŸ˜
 
Rais Lazima ajiweke karibu na wapiga kura wake zaidi.

Hizo nchi anazozitembelea hazijaichagua serikali anayoiongoza.

..mikusanyiko imekatazwa hapa nyumbani hivyo inabidi Rais afanye ziara nje ya nchi.🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…