Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Pre GE2025 Rais Samia kwa Mabalozi: Hatupo hapa kuelekezwa nini cha kufanya kwenye nchi yetu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
There is a serious leadership problem in TZ
The regime should be reminded of the human rights convention:

Article 1
All human beings are born free and equal.

article 2
Everyone is equal regardless of race, color, sex, language, religion, politics, or birthplace.

Article 3
Everyone has the right to life (and to live in freedom and safety).

Article 4
Everyone has the right to be free from slavery.

article 5
Everyone has the right to be free from torture.

article 6
Everyone has the right to be recognized before the law.

article 7
We are all are equal before the law.

article 8
Everyone has the right to seek justice if their rights are violated.

Article 9
Everyone has the right to freedom from arbitrary arrest, detention or exile.

Article 10
Everyone has the right to a fair trial.

Article 11
Everyone has the right to be presumed innocent until proven guilty.

Article 12
Everyone has the right to privacy and freedom from attacks on their reputation.

Article 13
Everyone has the right to freedom of movement and to be free to leave and return to their own country.

Article 14
Everyone has the right to seek asylum from persecution.

Article 15
Everyone has the right to a nationality.

Article 16
Everyone has the right to marry and to have a family.

Article 17
Everyone has the right to own property.

Article 18
Everyone has the right to freedom of thought, conscience and religion.

Article 19
Everyone has the right to freedom of opinion and expression.

Article 20
Everyone has the right to freedom of peaceful assembly and association.

Article 21
Everyone has the right to take part in government and to have equal access to public service.

Article 22
Everyone has the right to social security.

Article 23
Everyone has the right to work, to equal pay, to protection against unemployment, and the right to form and join trade unions.

Article 24
Everyone has the right to rest and leisure.

Article 25
Everyone has the right to a decent standard of living, including food, clothing, housing, medical care, and social services.

article 26
Everyone has the right to education.

Article 27
Everyone has the right to participate in and enjoy culture, art and science.

Article 28
Everyone has the right to a social and international order where the rights in this Declaration can be fully realized.

article 29
We have a duty to other people and we should protect their rights and freedoms.

article 30
Nobody can take away these rights and freedoms from us.
So you're telling us that these so called Universal human rights are not afforded to CHADEMA's members?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao...
Mama usilaumu balozi kwa mapungufu yako! Wanaokufa ni binadamu tafuta suluhu hao mabalozi ni binadamu hawawezi kunyamaza wakati watu wanachinjwa ovyo. Ingekuwa ndugu wa Raisi au mkwe wake kachinjwa angesema tusubiri report?

Ripoti za Lissu ma Mo ziko wapi?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao...
Nadhani angeitisha kikao Cha mabalozi na sio kututuma sisi wananchi tukawaambie mabalozi
 
Mchina sio wa kumtegemea
It is sad that we have reached this point. Tuliambiwa nchi imefunguliwa. na moja ya mambo ya aina ile ni kuwa tayari kusikia kila unachoambiwa maana wanakupa hela zao.
Ukikataa ina maana una sources nyingine za kuaminika. Ningependa kuona ubadhilifu unaondoka, wizi wa mali ya umma unadhibitiwa, kazi za umma zinatolewa kwa weledi na kwa wale walio na uwezo etc
Bila nidhamu, baadhi ya haya mambo huwa baadae yanageuka shubiri maana yana tabia ya kukata kama upanga.
Well, ngoja tuendelee kuangalia maana what else can we do?
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.

Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.


View attachment 3098778

Source: Mwananchi
🔨🔨🔨🔨🔨 Machadema na waliowatuma hoi 🤣🤣

Waambie wafanye Uchunguzi Kwa nini wanataka kumuua Trump ,shenzi zao 😆😆
 
Jiwe alituaminisha sisi ni matajiri tutembee kifua mbele, lakini ikifika usiku Waziri wake wa fedha ananyata hadi EU, UK na US na bakuli lake kuomba chochote ili tule, tutibiwe.
Si vibaya kama alikuwa anaweza kupata maokoto kwao bila ya kijikomba na kuwanyeyekea na kuwa mlangoni mwao kila wakati, it wo alright. Jiwe was another human, usipime !
 
Kumbuka siyo wale Mabalozi wa Nyumba 10 wa chama unaowajua . Nadhani hujui kuwa wao wanawakilisha Nchi gani. Siyo Mabalozi wa Burundi au Rwanda , hawa ni zaidi ya wawakilishi.
acha dharau gentleman 🤣

diplomas in haina ukubwa wala udogo,

so, kidipomasia Rwanda na US zina hadhi sawa 🐒
 
acha dharau gentleman 🤣

diplomas in haina ukubwa wala udogo,

so, kidipomasia Rwanda na US zina hadhi sawa 🐒
Yes zina hadhi sawa, na zina Nguvu Tofauti. Kinachomatter ni Nguvu ! Hadhi hata Binadamu wote ni sawa mbele ya Mungu na mbele ya dunia. But Binadamu wote hawana nguvu zinazolingana , na hata hadhi hatulingani Bro. Balozi wa US hata pale UN ana nguvu kuliko hata Guteres Katibu Mkuu wa UN. Uncle Tom si mwenzako.
 
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan hivi karibuni amejibu kuhusu matamko yaliyotolewa na balozi mbalimbali hapa nchini Tanzania kufuatia kifo cha Kada wa CHADEMA, Ali Kibao.

Mara baada ya Ali Kibao kupatikana akiwa amefariki huko Ununio, Dar Es Salaam balozi za nchi mbalimbali kama Marekani, Ufaransa na Umoja Wa Ulaya yaani EU walijitokeza kukemea kitendo hicho na kuitaka serikali ya Tanzania kufanya uchunguzi wa haraka.

Soma Pia: Rais Samia: Mauaji ya Kibao hayakubaliki. Uchunguzi umeanzishwa

Leo akiwa anatoa hotuba kwenye maadhimisho ya miaka 60 ya Jeshi La Polisi, mkuu huyo wa nchi amedokeza kuwa hayuko tayari kuelekezwa nini cha kufanya na kwamba Tanzania ina katiba na miongozo yake na kwamba sisi tunajua nini cha kufanya.


View attachment 3098778

Source: Mwananchi
KATIKA MOJA YA HOTUBA MWEHUKE NI YA LEO.
Bibi kachanganya madawa, mama yangu umetoa kauli ya KUKAA KIMYA, lakini Wewe hujakaa kimya suala la mabalozi.
HILI NALO KALIANGALIE UPYA.
UTAKOSA PA KWENDA KUPUYANGA KWA KIMDOMO DOMO CHA USWAHILINI.
OHOOOOO
 
🔨🔨🔨🔨🔨 Machadema na waliowatuma hoi 🤣🤣

Waambie wafanye Uchunguzi Kwa nini wanataka kumuua Trump ,shenzi zao 😆😆
Kule si umeona waliothubutu kufanya mauaji wao walikula shaba kabla ya kutenda ouvu huo zaidi. Pia huyu wa juzi alikamatwa akijalribu kutoroka . Kule vyombo vya Usalama ni vingine brother. Usijaribu .
 
163192.jpg
 
Whatever the case, there must be agreements binding the loan with specific compliance clauses.
Bank huwatawala wawakopeshao?.. world bank si bank ya masela sita kama siyo saba wanaofanya biashara ya kukopesha nchi kama pharmaceutical companies zinavyofanya biashara na nchi,au mikopo siyo biashara?
 
Back
Top Bottom